Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Ndugu WanaJF leo asubuhi wakati naelekea kazini nilikuwa nikisikiliza Radio Free Africa na nikasikia kichwa cha habari kimoja magazetini kikisema Katibu wa Mbunge wa Arusha mjini anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za ujambazi.
Kwa bahati mbaya network huku niliko ikawa down mawasiliano yakawa magumu kwa hiyo sikuisikiliza hiyo habari hadi mwisho.
Imekaaje kwa waliosikiliza ama kusoma gazeti husika.
Kwa bahati mbaya network huku niliko ikawa down mawasiliano yakawa magumu kwa hiyo sikuisikiliza hiyo habari hadi mwisho.
Imekaaje kwa waliosikiliza ama kusoma gazeti husika.