Hii Vita isiyo rasmi na ya chini chini yenye Mafumbo mengi baina ya Maaskofu wa Katoliki Tanzania na Mtume Mwamposa naiona peke yangu au?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,892
109,610
Sasa ni mwendo wa Mafumbo na Kukomoana tu..

Baadhi ya Maaskofu wa Katoliki..

"Wakatoliki mnaokwenda kwa Mwamposa ni Wendawazimu na tutaanza Kuwatenga Kanisani Kwetu kwani hatupendi Waumini wanaotangatanga wakati katika Ukatoliki kuna kila Kitu"

Mtume Mwamposa wa Kanisa lisilo na Jina na linalozoa kila Mtu.

"Wakiwatisheni kuwa mkija Kwangu mkifa hawatowazikeni msiogope njooni Kwangu nitawapeni Huduma ya Kimaombi na Mbinguni mtafika. Wameshindwa kuwashibisha Imani na Neno la Mungu na Mimi sasa naifanya Kazi hiyo"

Kama Serikali haitoingilia kati baina ya hawa Wawili naiina Hatari ya Kiimani, Kijamii na kubwa ya Kiusalama.
 
Mkuu seriously Kanisa Katoliki liingie vitani na mtu? Hapo Iringa ni mara ya kwanza injili kuhubiriwa na Protestants? Akina Gwajima hawajapita?

Pamoja na tofauti zetu za msingi Wakristo zipo huduma ni hatari kwa roho za Wakristo hasa wachanga.

Kanisa limeshamaliza, sasa kama anataka yaendelee alifikiri atapata umaarufu zaidi itakula kwake. Kanisa limesema na waamini wake yeye pia aseme na wake!
 
Leo Dodoma Rev Eliona Kimaro na Mwakasege wamekaribishwa kwenye kongamano la Kanisa Katoliki la Pentekoste! Kanisa likiona huduma yako imejaa makando alafu unataka kuliweka kidole machoni unafyatuliwa tu.

Naangalia live hapa TV Upendo injili inaendelea!
 
Halafu mbona swala la kuzika wakatoliki wanalikazia sana,,? Kwani hao mnowazika kikatoliki mna uhakika gani wanaenda peponi kwa kuwa tu mmewazika,,? Na hao mnaokataa kuwazika mna uhakika gani kuwa wanaenda jehanamu,,? Kanisa limekuwa na masharti mengi sana siku hizi mara sijui jumuia mara vipango Mara nini mara nini,, jumuia zenyewe sio jumuia zimejaa uzinzi tu na uasherati,,
 
Halafu mbona swala la kuzika wakatoliki wanalikazia sana,,? Kwani hao mnowazika kikatoliki mna uhakika gani wanaenda peponi kwa kuwa tu mmewazika,,? Na hao mnaokataa kuwazika mna uhakika gani kuwa wanaenda jehanamu,,? Kanisa limekuwa na masharti mengi sana siku hizi mara sijui jumuia mara vipango Mara nini mara nini,, jumuia zenyewe sio jumuia zimejaa uzinzi tu na uasherati,,

Aisee...!
 
Halafu mbona swala la kuzika wakatoliki wanalikazia sana,,? Kwani hao mnowazika kikatoliki mna uhakika gani wanaenda peponi kwa kuwa tu mmewazika,,? Na hao mnaokataa kuwazika mna uhakika gani kuwa wanaenda jehanamu,,? Kanisa limekuwa na masharti mengi sana siku hizi mara sijui jumuia mara vipango Mara nini mara nini,, jumuia zenyewe sio jumuia zimejaa uzinzi tu na uasherati,,
Astaghafirurah...sema haki ya Mungu
 
Halafu mbona swala la kuzika wakatoliki wanalikazia sana,,? Kwani hao mnowazika kikatoliki mna uhakika gani wanaenda peponi kwa kuwa tu mmewazika,,? Na hao mnaokataa kuwazika mna uhakika gani kuwa wanaenda jehanamu,,?
Wewe unaona sio ishu, ila wenyewe waliotengwa ndio wanaona ni ishu kubwa kwao
 
Ukiingia ktk makanisa ya roma sikuhiz unakuta mabenchi tu yapo wazi ibada hazina watu, nadhan wameamua kutumia ubabe na vitisho kwa waumini wao ili wasiende kutafuta huduma za Mungu sehem nyingine...
Kama unajiamini umemfundisha muumini wako vzuri kuhusu neno la Mungu kwanin umtishie asiende kwa wahubiri wengine..?
Ni kukosa akili tu, sikuhiz dunia sio kama ya enzi za akina Nyerere mambo mengi yamebadirika mtake msitake lazima madhehebu yabadirike ktk kufundisha neno la Mungu...
Sasa nyie ng'ang'anieni upuuzi end of the day mtabak na picha na masanam ktk majengo😂
 
Ukiingia ktk makanisa ya roma sikuhiz unakuta mabenchi tu yapo wazi ibada hazina watu, nadhan wameamua kutumia ubabe na vitisho kwa waumini wao ili wasiende kutafuta huduma za Mungu sehem nyingine...
Kama unajiamini umemfundisha muumini wako vzuri kuhusu neno la Mungu kwanin umtishie asiende kwa wahubiri wengine..?
Ni kukosa akili tu, sikuhiz dunia sio kama ya enzi za akina Nyerere mambo mengi yamebadirika mtake msitake lazima madhehebu yabadirike ktk kufundisha neno la Mungu...
Sasa nyie ng'ang'anieni upuuzi end of the day mtabak na picha na masanam ktk majengo
Mbona huku Iringa niliko naona kuna Parokia mpya zinaanzishwa na baadhi ya makanisa yameongeza idadi ya Misa au wanasali mapadre peke yao?
 
Halafu mbona swala la kuzika wakatoliki wanalikazia sana,,? Kwani hao mnowazika kikatoliki mna uhakika gani wanaenda peponi kwa kuwa tu mmewazika,,? Na hao mnaokataa kuwazika mna uhakika gani kuwa wanaenda jehanamu,,? Kanisa limekuwa na masharti mengi sana siku hizi mara sijui jumuia mara vipango Mara nini mara nini,, jumuia zenyewe sio jumuia zimejaa uzinzi tu na uasherati,,
Kila mtu abaki na imani na utaratibu wake..ukiingilia ya wenzio hutayaelewa

Yaan leo ukawaambie waislam wazike kwa majeneza itawezekana kweli?
 
Back
Top Bottom