APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,686
Wabongo ni watu waajabu sana,tunaviimani vya kipumbavu sana,sijui tumetoa wapi tabia zisizonamaana yeyote.
Hii tabia ya kukata ela pembeni kwa dhana kwamba inakuepusha na chuma ulete haina maana yeyote,
Kila pesa nayoishikilia iwe jero,buku,kaki hata msimbazi ukosi kukuta haijakatwa pembeni wanasema ukikata inakuepusha na chuma ulete.
Hakuna kitu kinaitwa chuma ulete,kwanza siaminigi viimani vya kipumbavu kama hivyo,daima akili ndogo huwaza ujinga.
Watanzania wenzangu tuacheni imani za kijinga,kama huna matumizi na ela yanayoeleweka daima utapoteza pesa zako,sio unasingizia chuma ulete.
Chuma ulete ni hadithi za kufikirika tu,hazina maana tuzitukuze
ONE TIME,
ONE FOR THE ROAD,
APPROXIMATELY ONCE AGAIN.....
Hii tabia ya kukata ela pembeni kwa dhana kwamba inakuepusha na chuma ulete haina maana yeyote,
Kila pesa nayoishikilia iwe jero,buku,kaki hata msimbazi ukosi kukuta haijakatwa pembeni wanasema ukikata inakuepusha na chuma ulete.
Hakuna kitu kinaitwa chuma ulete,kwanza siaminigi viimani vya kipumbavu kama hivyo,daima akili ndogo huwaza ujinga.
Watanzania wenzangu tuacheni imani za kijinga,kama huna matumizi na ela yanayoeleweka daima utapoteza pesa zako,sio unasingizia chuma ulete.
Chuma ulete ni hadithi za kufikirika tu,hazina maana tuzitukuze
ONE TIME,
ONE FOR THE ROAD,
APPROXIMATELY ONCE AGAIN.....