Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 3,995
- 6,293
Baada ya kushindwa kiwashawishi waunge mkono hoja mmeamua kuja kwa style chafu ya kuwadhalilisha Waheshimiwa Wabunge. Mmeishiwa ushawishi kwetu sisi wananchi sasa wale wanaokubalika mmeshikwa na wivu. Hata muwachafue vp bado tulio wengi tunawakubali Waheshimiwa hawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app