SONGOKA
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 1,843
- 1,841
Mwaka 2011 Julai 27, lilitoka gazeti la kila wiki la ijumaa wikienda likiwa na shutuma ya mbunge wa chadema kawe na wakati huo mbunge wa CCM viti maalumu Bunda kuwa WANASAGANA
katika gazeti hilo wabunge kadhaa walihojiwa na kukiri kuwa tetesi hizi wamezisikia pia ndani na nje ya Bunge. wahusika walikana kuwa na mahusiano
Miaka tisa (9) sasa imepita tangu swala hili kuibuka, Ingawa walikana kwa wakati huo lakini ushahidi wa kimazingiira unatia shaka sana kuhusu mahusiano ya dadazetu/wadogo zetu hawa wawili
uhusiano wao siku hizi umekuwa zaidi ya urafiki wa kawaida katika jamii
najua kuna watu watahoji na kusema kuwa ni maisha yao binafsi, lakini ni lazima kutambua kuwa mapenzi ya jinsia moja ni kosa la jinai nchini Tanzania na kama mwananchi mpenda sheria , naomba watu hawa wachunguzwe
Huu Urafiki umepitiliza, ukimtongoza mmoja anakusemea kwa mwenzie ...................
katika gazeti hilo wabunge kadhaa walihojiwa na kukiri kuwa tetesi hizi wamezisikia pia ndani na nje ya Bunge. wahusika walikana kuwa na mahusiano
Miaka tisa (9) sasa imepita tangu swala hili kuibuka, Ingawa walikana kwa wakati huo lakini ushahidi wa kimazingiira unatia shaka sana kuhusu mahusiano ya dadazetu/wadogo zetu hawa wawili
uhusiano wao siku hizi umekuwa zaidi ya urafiki wa kawaida katika jamii
- kwanza Bulaya akahama chama kumfuata rafiki yake chadema (rafiki wa kweli)
- sikuizi kila anapoenda bulaya halima yupo, kila anapoenda halima bulaya yupo, wanapendana kweli kweli na ratiba zao zinafanana exactly
- halima akiugua esther analala hospitali , esther akipeleka mwanae shule Halima anamsindikiza hadi huko iliko shule
- esther akienda Bunda halima anaambatana naye, hadi Bunda
- halima akienda kutibiwa south africa esther nae anaenda south africa kumsindikiza na kumuuguza (matukio haya yote nimeyatoa katika account zao za social media)
najua kuna watu watahoji na kusema kuwa ni maisha yao binafsi, lakini ni lazima kutambua kuwa mapenzi ya jinsia moja ni kosa la jinai nchini Tanzania na kama mwananchi mpenda sheria , naomba watu hawa wachunguzwe
Huu Urafiki umepitiliza, ukimtongoza mmoja anakusemea kwa mwenzie ...................