EXTERMINATOR
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 343
- 90
Ukiuziwa shamba na mlinzi unaweza kushiriki kutupa jiwez
Atawezaje kutoa Msaada peke yake mbele ya Wananchi wenye Hasira za kutapeliwa na huyo kijana wanaye muuwa? gfsonwin
ni dhahiri sana kwamba watanzania wengi wana hasira ndani mwao, na huwezi laumu mtu akipata gadhabu anapokabiliana na hawa vibaka kila leo, hapa na pale, cha kusikitisha ni mnachoma moto wanyonge wenzenu ambao ni watu wadogo sana ktk hili game. We are ALL victims of the system, kinachotakiwa ni kukanyaga kichwa cha nyoka sio kuukata mkia, kwahiyo kama kweli umechoka hii status quo kamata fisadi piga ua! Marekani kuna wajanja wanatabia kuwavamia wauza unga, na sio mabenki na watu wa kawaida, kwahiyo wazo langu next time unahisi kuchoma mtu moto, umvizie jitu p au idi lion alafu fanya kweli hapo utakuwa supa staa.Mkuu mimi nilishalizwa ishu fulani. Matengenezo kila kitu, nikatumia kitu kaa milioni mbili kasoro laki 2. Yaani ilibidi nitumie hakiba yangu kwa uwizi niliofanyiwa.
Nshawahi kuibiwa vitu vidogo vidogo vingi. Inauma sana kuibiwa. Hujawahi kuibiwa wewe, hujawahi kupeleka ripoti polisi ukawaona polis wasivyo sirias wewe. Hujawahi ndo maana wasema hivyo yawezekana.
Hujawahi kuona maisha ya askari polisi wewe. Hujawahi kusikia kua kuingia sero (cell) polisi wawezakutoka kwa kuhonga polisi njaa. Hujui yawezekana.
Mbona mimi hata nikiona cha mtu naogopa sana kukichukua? Mbona mimi kumtapeli mtu naogopa sana? Kwani mimi natokea sayari gani?! Mimi nikiweza kwa nini mwingine asiweze?!
Nimeapa kwa Mungu kua popote nitakapoona mwizi anapigwa kama muda ninaonami nitachangia kupiga mpaka kumuua! Nina machungu sana na watu wenye nguvu zao na hawataki kuchuma vyao kazi kutamani vya wenziwao na kuviiba.
ni dhahiri sana kwamba watanzania wengi wana hasira ndani mwao, na huwezi laumu mtu akipata gadhabu anapokabiliana na hawa vibaka kila leo, hapa na pale, cha kusikitisha ni mnachoma moto wanyonge wenzenu ambao ni watu wadogo sana ktk hili game. We are ALL victims of the system, kinachotakiwa ni kukanyaga kichwa cha nyoka sio kuukata mkia, kwahiyo kama kweli umechoka hii status quo kamata fisadi piga ua! Marekani kuna wajanja wanatabia kuwavamia wauza unga, na sio mabenki na watu wa kawaida, kwahiyo wazo langu next time unahisi kuchoma mtu moto, umvizie jitu p au idi lion alafu fanya kweli hapo utakuwa supa staa.