Hii noma achomwa moto kwa utapeli mikocheni.

Atawezaje kutoa Msaada peke yake mbele ya Wananchi wenye Hasira za kutapeliwa na huyo kijana wanaye muuwa? gfsonwin

kuokoa siyo lazima uwaambie waaache bali angetumia hata nguvu ya ziada kutafuta serikali ama hata polisi kuliko kuishia kuripoti tukio tu. to me ni ujinga sana kushuhudia ili uripoti badala ya kuonyesha efoti za kuyanusuru maisha ya tapeli huyo ili apelekwe kwenye sheria. hakuna mwenye ruhusa ya kumuua mtu mwingine no matter kafanya kosa gani aisee.
 
Mkuu mimi nilishalizwa ishu fulani. Matengenezo kila kitu, nikatumia kitu kaa milioni mbili kasoro laki 2. Yaani ilibidi nitumie hakiba yangu kwa uwizi niliofanyiwa.

Nshawahi kuibiwa vitu vidogo vidogo vingi. Inauma sana kuibiwa. Hujawahi kuibiwa wewe, hujawahi kupeleka ripoti polisi ukawaona polis wasivyo sirias wewe. Hujawahi ndo maana wasema hivyo yawezekana.

Hujawahi kuona maisha ya askari polisi wewe. Hujawahi kusikia kua kuingia sero (cell) polisi wawezakutoka kwa kuhonga polisi njaa. Hujui yawezekana.

Mbona mimi hata nikiona cha mtu naogopa sana kukichukua? Mbona mimi kumtapeli mtu naogopa sana? Kwani mimi natokea sayari gani?! Mimi nikiweza kwa nini mwingine asiweze?!

Nimeapa kwa Mungu kua popote nitakapoona mwizi anapigwa kama muda ninaonami nitachangia kupiga mpaka kumuua! Nina machungu sana na watu wenye nguvu zao na hawataki kuchuma vyao kazi kutamani vya wenziwao na kuviiba.
ni dhahiri sana kwamba watanzania wengi wana hasira ndani mwao, na huwezi laumu mtu akipata gadhabu anapokabiliana na hawa vibaka kila leo, hapa na pale, cha kusikitisha ni mnachoma moto wanyonge wenzenu ambao ni watu wadogo sana ktk hili game. We are ALL victims of the system, kinachotakiwa ni kukanyaga kichwa cha nyoka sio kuukata mkia, kwahiyo kama kweli umechoka hii status quo kamata fisadi piga ua! Marekani kuna wajanja wanatabia kuwavamia wauza unga, na sio mabenki na watu wa kawaida, kwahiyo wazo langu next time unahisi kuchoma mtu moto, umvizie jitu p au idi lion alafu fanya kweli hapo utakuwa supa staa.
 
ni dhahiri sana kwamba watanzania wengi wana hasira ndani mwao, na huwezi laumu mtu akipata gadhabu anapokabiliana na hawa vibaka kila leo, hapa na pale, cha kusikitisha ni mnachoma moto wanyonge wenzenu ambao ni watu wadogo sana ktk hili game. We are ALL victims of the system, kinachotakiwa ni kukanyaga kichwa cha nyoka sio kuukata mkia, kwahiyo kama kweli umechoka hii status quo kamata fisadi piga ua! Marekani kuna wajanja wanatabia kuwavamia wauza unga, na sio mabenki na watu wa kawaida, kwahiyo wazo langu next time unahisi kuchoma mtu moto, umvizie jitu p au idi lion alafu fanya kweli hapo utakuwa supa staa.

Well said. Hats off
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom