Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 181
wadau naleta hoja kuwa week hii ni week ngumu kwa watawala TZ kwa matukio yanayotokea na yaliyotokea
1. Vigogo wa Polisi kwenda gerezani kumshawishi Lema kukubali dhamana
2. Mahakama kumnyima Lema dhamana
3. Maaandamano na mkusanyiko mkubwa wa CDM na baadaye kutawanywa
4. Viongozi waandamizi wa CDM kukamatwa kwa mkusanyiko usio halali na hotuba za Uchochezi
5. Waziri mkuu kulalamika bungeni kuwa maandamano ya CDM yanawanyima usingizi
6. Mgomo wa wanafunzi UDSM
7. Mapigano ya Polisi na wamachinga huko mbeya
Duuuh sijui nchi inakwenda wapi hii
nawasilisha
1. Vigogo wa Polisi kwenda gerezani kumshawishi Lema kukubali dhamana
2. Mahakama kumnyima Lema dhamana
3. Maaandamano na mkusanyiko mkubwa wa CDM na baadaye kutawanywa
4. Viongozi waandamizi wa CDM kukamatwa kwa mkusanyiko usio halali na hotuba za Uchochezi
5. Waziri mkuu kulalamika bungeni kuwa maandamano ya CDM yanawanyima usingizi
6. Mgomo wa wanafunzi UDSM
7. Mapigano ya Polisi na wamachinga huko mbeya
Duuuh sijui nchi inakwenda wapi hii
nawasilisha