MDANGANYIKAJI
Member
- Jan 27, 2011
- 77
- 59
Jamani kwa wenzangu na mimi wenye magari please be alerted that kuna utapeli mpya umeibuka jijini. Ni kisa cha kweli kwamba kuna jamaa alitoa lifti kwa askari wakapiga stori fresh na jamaa akafunguka anapoelekea, then akaomba kushuka mita chache mbele, suprisingly enough baada ya yule askari kushuka jamaa akaendelea kuendesha na baada kama ya mita chache akasimamishwa na askari mwingine wakiomba kukagua gari. being confident na kutokujua whats going on hakuofu akamruhusu ila cha ajabu yule askari akaibuka na mfuko wenye unga mweupe na akamtuhumu kwamba ile ni unga na walikuwa wanamsuspect mda so its either atoe one million or waende kituoni; so kwa kiwewe alikubali kutoa hiyo hela though hakukujua yale madawa yametokea wapi.
the only thing he suspect ni kwamba yule askari wa mwanzo alimwekea; kwa hiyo wanandugu tuweni makini mimi tangia nipewe hiyo story sijawahi tena kutoa lifti esp kwa hawa wanafunzi na maaskari wanaoomba lifti.
the only thing he suspect ni kwamba yule askari wa mwanzo alimwekea; kwa hiyo wanandugu tuweni makini mimi tangia nipewe hiyo story sijawahi tena kutoa lifti esp kwa hawa wanafunzi na maaskari wanaoomba lifti.