Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Nimeshafika mshiki angu, na nshafanya maamuzi magumu. Am no Longer Married to BADILI TABIA. Siyo wifiyo tena. Nitafutie wa kuziba pengo lake. Si wajua kaka yako mie wake wawili hawanitoshi?
kamata CUTE.....huyu alijaribu kuniingilia lakini alishindwa......nataka nimkomeshe......mpe ile dozi yako nene......
Last edited by a moderator: