MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Sitaki kulisemea hili kisiasa lakini ukweli ndio huu hapa!
Tunatakiwa kuchagua urais atakayefanya Wanafunzi wote wasome vyuo vikuu bila hofu,wasome kama vile Tanzania ni nchi yao, wasisoneneke! Wafurahie fsida ya rasirimali zao,Wasomeshwe kama ni bure basi wapate fursa wote!
Tusifanye makosa tuliyoyajutia huko nyuma, tumepigwa mabomu,watu wamevunjwa miguu,watu wamewekwa ndani bila sababu, Viongozi wa bodi ya mikopo wanaifanya bodi kama Mali yao,hawana majibu mazuri kwa Wanafunzi, TCU hawana lugha nzuri, NACTE hawatoi majibu mtu unapokua na Shida, ukimkuta mtu ofisini anakujibu huvyo utafikiri umeenda nyumbani kwake hata kama ni secretary.
Nina imani ya nyuma yametufanya tujifunze na tujutie, tunasubiria tugome ndipo pesa zitolewe hazina! Hii inaumiza sana! Kama kuna kiongozi anayetaka kutoa elimu ya chuo kikuu bure, kwanini tusimpe kura ili baadaye tumdai?
Kwani pesa za kugharamia masomo ya Wanafunzi wote Tanzania ni kiasi gani,kwani hata pale bandarini zinakusanyawa sh. ngapi japo kwa mwezi tu? Kwani ESCROW zililambwa kiasi gani? Huenda huyu anayetaka kutoa elimu bure kwa Wanafunzi wote anajua pesa atasanya wapi.
Shime Wanafunzi msisubirie mabomu tena fanyeni maamuzi ya kweli, safiri hata hapo ulipo nenda ulikojiandikisha kapige kura yako tarehe 25/10/2015 kura yako moja ni muhimu kwa maisha yako na ya kizazi kijacho.
Tunatakiwa kuchagua urais atakayefanya Wanafunzi wote wasome vyuo vikuu bila hofu,wasome kama vile Tanzania ni nchi yao, wasisoneneke! Wafurahie fsida ya rasirimali zao,Wasomeshwe kama ni bure basi wapate fursa wote!
Tusifanye makosa tuliyoyajutia huko nyuma, tumepigwa mabomu,watu wamevunjwa miguu,watu wamewekwa ndani bila sababu, Viongozi wa bodi ya mikopo wanaifanya bodi kama Mali yao,hawana majibu mazuri kwa Wanafunzi, TCU hawana lugha nzuri, NACTE hawatoi majibu mtu unapokua na Shida, ukimkuta mtu ofisini anakujibu huvyo utafikiri umeenda nyumbani kwake hata kama ni secretary.
Nina imani ya nyuma yametufanya tujifunze na tujutie, tunasubiria tugome ndipo pesa zitolewe hazina! Hii inaumiza sana! Kama kuna kiongozi anayetaka kutoa elimu ya chuo kikuu bure, kwanini tusimpe kura ili baadaye tumdai?
Kwani pesa za kugharamia masomo ya Wanafunzi wote Tanzania ni kiasi gani,kwani hata pale bandarini zinakusanyawa sh. ngapi japo kwa mwezi tu? Kwani ESCROW zililambwa kiasi gani? Huenda huyu anayetaka kutoa elimu bure kwa Wanafunzi wote anajua pesa atasanya wapi.
Shime Wanafunzi msisubirie mabomu tena fanyeni maamuzi ya kweli, safiri hata hapo ulipo nenda ulikojiandikisha kapige kura yako tarehe 25/10/2015 kura yako moja ni muhimu kwa maisha yako na ya kizazi kijacho.