its treatable so, NO, its not the worst affliction a man can facejogoo kushindwa kupanda mtungi.
Eti nini msimamo wenu wanajamii?
Someone once said "Men fear impotence more than death"
Eroville
Tehe......nitafsirie bana.....mie niko form twoB afu sekondari ya kata lol.
Mimi mwenyewe niko maneromango shule ya msingi darasa la MEMKWA (Mpango wa elimu kwa walioikosa)
Hahahahaha kumbe nimekuzidi madarasa eeh?.....basi mie nilimaliza hapo hapo miaka miwili iliyopita.....ntakufichia past paper eeh.....kazana kusoma manake nchi ishauzwa!
Asante kwa ushauri dada! nitasoma sana ingawa inglish na hisabati zinanigonga
Uje na tuishieni basi.....ntakusaidia unapokwama sawa eeh......uje na vitabu vyako!
Hii ilitokea kabla ya kuenea kwa gonjwa la ukimwi!
Nilikuta mabishano ya vijana wakisema kuwa kwa mwanamume ni aheri ya ugonjwa wowote ule kuliko jogoo kushindwa kupanda mtungi.
Eti nini msimamo wenu wanajamii?