- Thread starter
- #21
Wanawake wanataka kitu tofauti sana kutoka kwa wanaume!
Kitu gani hicho Eiyer?
Wanawake wanataka kitu tofauti sana kutoka kwa wanaume!
Someone once said "Men fear impotence more than death"
Si kweli!Ukichaa je? Bora nisisimamishe kuliko kuugua UKICHAA, nk.
Sawa dada nitakuja na vyote ikiwa ni pamoja na nailoni ya kuzuia bakteria
Hahahaha......nailoni hapana platozoom .....wewe mwanafunzi ntaacha kukufundisha ati khaaa......aliyekwambia nakuja kukufundisha biology ni nani?......umesema english na hisabati zinakupa taabu sasa hapo nailoni lahusikaje????.....umeanza kumkera mwalimu eeh!
Nimepotea njia.
Niliambiwa kwenye hisabati ukianza na namba ya cha kwanza lazima uvae nailoni ili kuzuia bakteria wa umbo duara na mshazari!
Wewe mwanafunzi mtukutu sana lol.....nimeghairi walah tena......unaonekana hesabu unazielewa vema!
usijali utaniongezea matirio mwalimu ni mwalimu