B.O.G
Senior Member
- Feb 17, 2011
- 144
- 40
Dada zangu habari zenu , sasa mmi ni kija wa miaka 25. ila sasa sina mchumba wa kueleweka maana kila ambaye ni xrafiki yangu sasa labda nataka nimsogeze karibu zaidi nagundua kuwa mimi kwake ni kama spear tairi tu.basi namie najua soma nyakati hivyo najiweka pembeni ilikuepusha msongamano. ila pia sitaki kujitetea sana maana kwa upande mwingine ni kwamba mie ni rijali lakini mambo ya wasichana wasichana sio fani yangu sana maana hata sijui kutoa swagga. wenzetu wanasema wht u c 4rm me is wht u get 4rm me.
Maisha yangu kwakifupi hayana matatizo , ila isipo kuwa nafikiria kuwa ningekuwa mbali ama nitakuwa mbali kama nikipata msichana ambaye hata ni ground na kuni balance Emotional, physically & mentally.
kama we ni msichana wa kuanzia miaka 18 mpaka 25 nakuomba tuwasiliane kupitia 0612929491.
Tukikutana nitakupeleka Tukalowe samaki bahari kigamboni . maana nimoja ya vitu huwa napenda kufanya nikiwa napooteza mawazo..
DU USIKU MWEMA USINGIzi UNANICHUKUA HATA NIMEKOSA NA CHAKUENDELEZA.
Maisha yangu kwakifupi hayana matatizo , ila isipo kuwa nafikiria kuwa ningekuwa mbali ama nitakuwa mbali kama nikipata msichana ambaye hata ni ground na kuni balance Emotional, physically & mentally.
kama we ni msichana wa kuanzia miaka 18 mpaka 25 nakuomba tuwasiliane kupitia 0612929491.
Tukikutana nitakupeleka Tukalowe samaki bahari kigamboni . maana nimoja ya vitu huwa napenda kufanya nikiwa napooteza mawazo..
DU USIKU MWEMA USINGIzi UNANICHUKUA HATA NIMEKOSA NA CHAKUENDELEZA.