Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
kuna mengi yanatokea yakituumiza sana sisi wenye kipato cha chini....haya ni mfano tu ukiwa na yako ongezea pia
1.Twiga wanapanda ndege,Mtanzania wa kawaida anaangaishwa pata passport
2.viongozi wanajilipa vinono,mwananchi wa kawaida mlo mmoja tabu
3.wanachukua mashamba yetu bila fidia kwa kigezo cha uwekezaji...
4.wanatuUlimboka
5
6............
1.Twiga wanapanda ndege,Mtanzania wa kawaida anaangaishwa pata passport
2.viongozi wanajilipa vinono,mwananchi wa kawaida mlo mmoja tabu
3.wanachukua mashamba yetu bila fidia kwa kigezo cha uwekezaji...
4.wanatuUlimboka
5
6............