kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
Wiki iliyopita katika msikiti mmoja maarufu hapa Arusha kilitokea kituko cha mwaka. Wakati waumini wakiwa wameinama katika kuabudu, muumini mmoja alijisahau kuzima simu yake ya mkononi mara ikaanza kuita. Mlio wa simu hiyo ulikuwa ni wimbo wa Rose Mhando "Nibembeleze Nibebe...nipeleke mbinguni kwa Baba"! Hebu niambie kilichotokea baada ya ibada... Muumini huyo alipaa kipigo cha mbwa mwizi hadi alipookolewa na polisi.
Read more: Hii ni hatari! - FotoBaraza.Me
Read more: Hii ni hatari! - FotoBaraza.Me