Ukienda kwenye official website ya chadema unaweza usiamini kuwa unatembelea website ya chama
kikuu cha upinzani Tanzania na unajiuliza kama ni kweli chadema inashindwa vipi kuanzisha kitengo
maalum cha habari kwa ajili ya kuyasambaza yale yote wanayoyafanya kwenye Ground ili yaende kwenye Tanzania nzima kama si dunia nzima. kwenye website kumejaa matukio ambayo asimilia 90 yamepitwa na wakati ikiwemo idadi ya wabunge wa chadema kuwa ni watano tu na mengine ambayo yanakuacha ktk maswali mengi kuwa how serious is chadema in running itself if they can't even update their website for almost six months after the election?? mnafanya superb groundwork lakini mnashindwa kufikisha ujumbe wenu nchi nzima ni aibu kubwa ktk ulimwengu huu wa high tech.
kikuu cha upinzani Tanzania na unajiuliza kama ni kweli chadema inashindwa vipi kuanzisha kitengo
maalum cha habari kwa ajili ya kuyasambaza yale yote wanayoyafanya kwenye Ground ili yaende kwenye Tanzania nzima kama si dunia nzima. kwenye website kumejaa matukio ambayo asimilia 90 yamepitwa na wakati ikiwemo idadi ya wabunge wa chadema kuwa ni watano tu na mengine ambayo yanakuacha ktk maswali mengi kuwa how serious is chadema in running itself if they can't even update their website for almost six months after the election?? mnafanya superb groundwork lakini mnashindwa kufikisha ujumbe wenu nchi nzima ni aibu kubwa ktk ulimwengu huu wa high tech.