St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,645
- 11,153
Mie nilidhani mnajivunia Magufuli kumbe mnajivunia DiamondHongera zake. Diamond ndiye kitu pekee taifa tunaweza kujivunia. Zaidi ya hapo kuna nini?
Mie nilidhani mnajivunia Magufuli kumbe mnajivunia DiamondHongera zake. Diamond ndiye kitu pekee taifa tunaweza kujivunia. Zaidi ya hapo kuna nini?
Hongera zake. Diamond ndiye kitu pekee taifa tunaweza kujivunia. Zaidi ya hapo kuna nini?
kwani ikulu nini wewe!?..unaiona kama nyumba ya mungu,ikulu ni nyumba maalum ya watanzania,wacha ijae vya kitanzaniaIkulu hii ya Uncle Magu au ikulu ya Mkubwa Fela?
ulitakiwa useme tatizo lipo kwenye feature phonesTatizo ilo lipo kwenye Chinese phones.
Huyu sio mfanyabiashara huyu ni gwiji la sanaa lililofanya makubwa ambayo hayakuwahi kufanywa na wengine huko nyuma. Ni kijana kutoka uswahilini hasiyekulia maisha mazuri ila kawa mfano kwa vijana wengi wanaoamini mfumo mmoja wa kufanikiwa.mzee mengi kaajiri watu wangapi
bhakresa je
mohamed dewji
rostam aziz
na wengineo wengi je picha zao zipo ikulu kama issue ni kuajiri watu?
hivo vikatuni sio vya tingatinga kweli?!..kama ni vya tingatinga basi hujui thaman yakeLakini pia si kuna picha za vikatuni vya kuchora vimewekwa hapo Ikulu? kwa hiyo sio issue hususani kwa utawala huu wa Magufuli.
Yote sawa.W
What do you mean by a Chinese phone. A phone made in China or a phone made by a Chinese?
Ok sawa.. Vipi lakini picha hiyo unaionajeulitakiwa useme tatizo lipo kwenye feature phones
WellUkiingia conference room ya ikulu utakutana na hii picha ya Nasib Abdul almaarufu Diamond Platnumz.
View attachment 350546
KitwangaHongera zake. Diamond ndiye kitu pekee taifa tunaweza kujivunia. Zaidi ya hapo kuna nini?
Mafanikio yapi makubwa ambayo Diamond kayaleta kwenye nchi hii?Diamond ameleta mafanikio makubwa sana kwenye hii nchi kuliko mafanikio ya Kitwanga na Nape ukiyaunganisha pamoja
Naona unakuja kwa kasi Kama tsunami bibieDiamond ameleta mafanikio makubwa sana kwenye hii nchi kuliko mafanikio ya Kitwanga na Nape ukiyaunganisha pamoja