dada yangu NILHAMs.aleykum....... akhbari zenu myoooote kwa ujumla ??? naituma post hii kwa mashaka na ghofu iliyoitawala nafsi yangu...... kama nilivyowajulisha awal nilikutwa na heart attack.....leo ile siku imewadia tena ya kwenda kuchukuwa my last xrays....nilizo andikiwa zilikuwa tatu nilipata ya pili mwezi uliopita ikawa tatizo bado lipo ikiwa imepunguwa 75% niliongezewa zaidi matibabu.....sasa siku imewadia ya kwenda kuchukuwa ya mwisho kesho na ikikutwa tatizo bado lipo jamani ndio nitahitajika kwa ionajili ya operattion kwakuwa wamesema itakuwa no way out...kwa ajili nikiendelea kukukaa ndio dawa zitazidisha kama tatizo limegoma kuondoka askum lkheyr inshallah .........
ningependa sana sana dua zenu...ndio maana nimewajulisha na nitakuwa offline about 5days i will miss u all..... may allah bless me to come back again inshallah....
urs nilham rashed........:thinking::thinking:
Siyo kweli,linatumika kwa jinsia zote mbili.kwa hiyo ni kweli? kwanza jina ni la jinsia gani?
Siyo kweli,linatumika kwa jinsia zote mbili.
Kuna mtu alinigusa katika maisha yangu kumuenzi nalitumia hili jina kama alias name ila alihusiani na jinsia yangu kaka.wewe umelitumia kwenye jinsia gani?
Kuna mtu alinigusa katika maisha yangu kumuenzi nalitumia hili jina kama alias name ila alihusiani na jinsia yangu kaka.
Na mimiPole sana mpenzi.
Nitakuombea.
Hamna tabu,salamu kwa wajina.ok poa ndugu yangu, dadayangu anaitwa hivi ndio maana nikauliza but tuko pamoja
Na mimi