hii ndio ghofu yangu ilionipelekea kuaga

Pole bibie...tutakua nawe katika sala!Mungu akujalie ukutwe salama!
 
s.aleykum....... akhbari zenu myoooote kwa ujumla ??? naituma post hii kwa mashaka na ghofu iliyoitawala nafsi yangu...... kama nilivyowajulisha awal nilikutwa na heart attack.....leo ile siku imewadia tena ya kwenda kuchukuwa my last xrays....nilizo andikiwa zilikuwa tatu nilipata ya pili mwezi uliopita ikawa tatizo bado lipo ikiwa imepunguwa 75% niliongezewa zaidi matibabu.....sasa siku imewadia ya kwenda kuchukuwa ya mwisho kesho na ikikutwa tatizo bado lipo jamani ndio nitahitajika kwa ionajili ya operattion kwakuwa wamesema itakuwa no way out...kwa ajili nikiendelea kukukaa ndio dawa zitazidisha kama tatizo limegoma kuondoka askum lkheyr inshallah .........

ningependa sana sana dua zenu...ndio maana nimewajulisha na nitakuwa offline about 5days i will miss u all..... may allah bless me to come back again inshallah....

urs nilham rashed........:thinking::thinking:
Pole dada, Mwenyezi MUNGU mwenye uwezo wote akurejeshee afya yako ili tuendelee kusukuma gurudumu la maendeleo.
 
Pole sana kipenzi changu......
Its real sad to know you are sick and that we will have to miss you for five days....
May Allah be with you at each step and may you get well soon
Love you and will pray for you,everything is gonna be ok.......
 
Hakuna kinachoshinda imani.
Kuwa na imani kwamba Mungu kwa uweza wake akuponye na hata kama itabidi kufanyiwa operation basi Mungu wa rehema nyingi akawatumie madaktari kukupa wewe mja wake afya njema.

Tutakuwa pamoja nawe kwa sala na maombi ili Mungu akuafuu!
 
s.aleykum....... akhbari zenu myoooote kwa ujumla ??? naituma post hii kwa mashaka na ghofu iliyoitawala nafsi yangu...... kama nilivyowajulisha awal nilikutwa na heart attack.....leo ile siku imewadia tena ya kwenda kuchukuwa my last xrays....nilizo andikiwa zilikuwa tatu nilipata ya pili mwezi uliopita ikawa tatizo bado lipo ikiwa imepunguwa 75% niliongezewa zaidi matibabu.....sasa siku imewadia ya kwenda kuchukuwa ya mwisho kesho na ikikutwa tatizo bado lipo jamani ndio nitahitajika kwa ionajili ya operattion kwakuwa wamesema itakuwa no way out...kwa ajili nikiendelea kukukaa ndio dawa zitazidisha kama tatizo limegoma kuondoka askum lkheyr inshallah .........

ningependa sana sana dua zenu...ndio maana nimewajulisha na nitakuwa offline about 5days i will miss u all..... may allah bless me to come back again inshallah....

urs nilham rashed........:thinking::thinking:

Nilham avatar yako inanikumbusha Pemba. Niliwahi kufanya kazi na wanakijiji wa kule nikagundua kuwa wanawake hawna ujasiri (au hawaruhusiwi) kuwatazama wanaume wasio waume zao moja kwa moja usoni....
 
Mungu ufute yote mabaya yanaweza kutokea katika afya yako...Akulinde na kukudumisha katika muda mrefu wa kuishi... Inshallah...dua zetu ameishazisikia.
 
Back
Top Bottom