Hahahaa inaitwa weka mboga tunaweka ugali pumbavu,nakodi ndege kwenda Dubai tuende sawawakati mimi nalalamika bei ya mafuta ya kula kufikia 7500 kwa lita kumbe kuna watu wanachezea hela namna hii,
hawa naona wameamua kuanzisha derby
View attachment 2054183View attachment 2054184
Hii ina inaitwa both team to scorewakati mimi nalalamika bei ya mafuta ya kula kufikia 7500 kwa lita kumbe kuna watu wanachezea hela namna hii,
hawa naona wameamua kuanzisha derby
View attachment 2054183View attachment 2054184
Waache watumie wanavyotaka sababu ufukara upo tangu mwanzo wa Dunia.Hawa Ni wajinga na wapumbafu, hawakupaswa kuanika upuuzi wao katika jamii yenye Lindi la ufukara.
Katika maisha yangu sikuwahi kutegemea Marehemu Ruge Mutahaba kufanyiwa michango ya matibabu.Hawa Ni wajinga na wapumbafu, hawakupaswa kuanika upuuzi wao katika jamii yenye Lindi la ufukara.
Hela Ndogo sana hiyo.wakati mimi nalalamika bei ya mafuta ya kula kufikia 7500 kwa lita kumbe kuna watu wanachezea hela namna hii,
hawa naona wameamua kuanzisha derby
View attachment 2054183
View attachment 2054184
Hakika tumerudi zama za mbuzi kunyweshwa bia