Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,803
- 71,229
Katika historia ya Chaguzi za vyama vingi tokea 1995 haijapata kutokea mgombea aliyepiga kampeni mfululizo na kutimiza takribani 96% ya malengo ya ratiba yake bila kuonyesha kuchoka kwa mwili au Akili kiasi cha kuzoza hovyo bila kutumia Akili kama ilivyo kwa Tundu Lissu mgombea kutoka Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema.
Hakika hii ni machine au chuma cha pua kabisa ukilinganisha na wagombea wenzake tena wengine wazoefu zaidi yake.
Na lakushangaza ni kuwa Lissu huwa anaicheza show mwenyewe jukwaani, hana cha msanii wala blabla za viongozi wengine eti hotuba za utangulizi.
Hakika nadhani Mungu karuhusu tuingie majaribuni jee tutashindwa kuona uwezo huu na kuendelea na ujinga kama kawaida yetu kisha atuache jumla kama Somalia na kwingineko kwenye neema ya maliasili lakini ujinga umetamalaki.
Hakika hii ni machine au chuma cha pua kabisa ukilinganisha na wagombea wenzake tena wengine wazoefu zaidi yake.
Na lakushangaza ni kuwa Lissu huwa anaicheza show mwenyewe jukwaani, hana cha msanii wala blabla za viongozi wengine eti hotuba za utangulizi.
Hakika nadhani Mungu karuhusu tuingie majaribuni jee tutashindwa kuona uwezo huu na kuendelea na ujinga kama kawaida yetu kisha atuache jumla kama Somalia na kwingineko kwenye neema ya maliasili lakini ujinga umetamalaki.