Hii kauli "Simba dhaifu" inatugharimu sana Yanga

Kama Simba ni dhaifu inakwaje AFL kadraw na Al Ahly Dar na akaenda kudraw Egypt, halafu nye mlipokutana nao mmedraw Dar mkapigwa Misri?ina maana Simba ingekuwa kwenye kundi la CAF na Al Ahly wangepata point 2 kwa Al Ahly na Yanga wangepata point 1 kwa Al Ahly (na huyo Al Ahly ndo aliyeogoza kundi lenu) kwa kuchukua point 4 kwenu.
 
Simba kiwango WA tano 5 Bora Africa na hakuna kelele. Ngoja siku majini' FC waingie 10 Bora utashangaa mabango Nchi mzima. SASA hivi wanaombea wapangiwe ASEC wakati Simba inamsubiri yeyote iingie mzigoni. Hiyo ndio washamba FC.
Simba haijawahi kuwa na uhaba wa matumaini
 
Kwa uchambuzi uloufanya mkuu ni ngumu kuamini kuwa wew ni yanga
sifa za wanayanga tunazifahamu ila wewe si mmojawapo..!
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Nikiri wazi mimi ni shabiki kindakindaki wa timu ya Yanga.

Katka zama za hivi karibuni imeibuka misemo kwa sisi wana Yanga kuiona Simba ni dhaifu na sisi ni bora zaidi.
Ukiangalia mechi anazocheza Simba na timu anazokutana nazo matokeo ni tofauti kabisa na kauli ya Simba dhaifu.

Ni wazi zile 5 tulizowafunga ndio zinatupeleka kuona Simba dhaifu kwa kutumia hesabu zetu za algebra. Kwa mfano ikitokea Simba imecheza na timu nyingine halafu wakstoka sare, hesabu zetu zinakua kwa kuwa Simba katoa sare na hii timu na kwa kuwa sisi tuliifunga Simba, basi hata hawa tutawafunga. Tukiingia uwanjani na hiyo timu ni aidha sare au tufungwe(rejea mechi na ahly).

Sasa kwa kigezo hicho ubora wetu upo wapi na udhaifu wa Simba upo wapi wakati wanapata matokeo na wanasonga mbele. Timu dhaifu tupo nayo Robo fainali.

Sasa hivi tunaomba eti tukutane na ASEC kwa kuwa katoa sare na Simba tunaona tutawaweza. Niwakumbushe tu mashabiki wenzamgu wa Yanga, hao ASEC waliotoa sare na Simba tukipangwa nao sisi tutapigwa. Kwa sababu tutaingia na mentally ya sisi ni bora, tukifika uwanjani mambo tofauti.

Ifike wakati zile 5 isiwe kigezo cha kutambua ubora wetu. Hata wale galaxy tuki cheza nao kesho tunaweza kupigwa au kutoa nao sare. Kwa nini, kwa sababu ya hesabu zetu za algebra kwa kuwa simba kashinda 6 na sisi tuliwafunga simba 5, basi tutawafunga galaxy 30.

Tunapoingia uwanjani na timu yoyote tusiwe na akili za hawa tutawapiga ni wepesi. Hii inatugharimu sana. Tuingie uwanjani kwa falsafa ya vita kufa au kupona. Yule msemaji wetu kiukweli nae anachangia katika kusababisha timu kufungwa kwa sababu kuna mentality anaiweka kwa wa chezaji na mashabiki kabla ya mechi. Hii ni suala la sailolojia asije mtu kusema kwani msemaji anacheza namba ngapi uwanjani. Tusiwadharau wapinzani wetu.

Nawasilisha.

wanaoidharau Simba ni mashabiki wa Yanga, sio wachezaji wa Yanga. Wachezaji ndio wataleta matokeo uwanjani
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Nikiri wazi mimi ni shabiki kindakindaki wa timu ya Yanga.

Katka zama za hivi karibuni imeibuka misemo kwa sisi wana Yanga kuiona Simba ni dhaifu na sisi ni bora zaidi.
Ukiangalia mechi anazocheza Simba na timu anazokutana nazo matokeo ni tofauti kabisa na kauli ya Simba dhaifu.

Ni wazi zile 5 tulizowafunga ndio zinatupeleka kuona Simba dhaifu kwa kutumia hesabu zetu za algebra. Kwa mfano ikitokea Simba imecheza na timu nyingine halafu wakstoka sare, hesabu zetu zinakua kwa kuwa Simba katoa sare na hii timu na kwa kuwa sisi tuliifunga Simba, basi hata hawa tutawafunga. Tukiingia uwanjani na hiyo timu ni aidha sare au tufungwe(rejea mechi na ahly).

Sasa kwa kigezo hicho ubora wetu upo wapi na udhaifu wa Simba upo wapi wakati wanapata matokeo na wanasonga mbele. Timu dhaifu tupo nayo Robo fainali.

Sasa hivi tunaomba eti tukutane na ASEC kwa kuwa katoa sare na Simba tunaona tutawaweza. Niwakumbushe tu mashabiki wenzamgu wa Yanga, hao ASEC waliotoa sare na Simba tukipangwa nao sisi tutapigwa. Kwa sababu tutaingia na mentally ya sisi ni bora, tukifika uwanjani mambo tofauti.

Ifike wakati zile 5 isiwe kigezo cha kutambua ubora wetu. Hata wale galaxy tuki cheza nao kesho tunaweza kupigwa au kutoa nao sare. Kwa nini, kwa sababu ya hesabu zetu za algebra kwa kuwa simba kashinda 6 na sisi tuliwafunga simba 5, basi tutawafunga galaxy 30.

Tunapoingia uwanjani na timu yoyote tusiwe na akili za hawa tutawapiga ni wepesi. Hii inatugharimu sana. Tuingie uwanjani kwa falsafa ya vita kufa au kupona. Yule msemaji wetu kiukweli nae anachangia katika kusababisha timu kufungwa kwa sababu kuna mentality anaiweka kwa wa chezaji na mashabiki kabla ya mechi. Hii ni suala la sailolojia asije mtu kusema kwani msemaji anacheza namba ngapi uwanjani. Tusiwadharau wapinzani wetu.

Nawasilisha.
Katka zama za hivi karibuni imeibuka misemo kwa sisi wana Yanga kuiona Simba ni dhaifu na sisi ni bora zaidi.
Ukiangalia mechi anazocheza Simba na timu anazokutana nazo matokeo ni tofauti kabisa na kauli ya Simba dhaifu.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Nikiri wazi mimi ni shabiki kindakindaki wa timu ya Yanga.

Katka zama za hivi karibuni imeibuka misemo kwa sisi wana Yanga kuiona Simba ni dhaifu na sisi ni bora zaidi.
Ukiangalia mechi anazocheza Simba na timu anazokutana nazo matokeo ni tofauti kabisa na kauli ya Simba dhaifu.

Ni wazi zile 5 tulizowafunga ndio zinatupeleka kuona Simba dhaifu kwa kutumia hesabu zetu za algebra. Kwa mfano ikitokea Simba imecheza na timu nyingine halafu wakstoka sare, hesabu zetu zinakua kwa kuwa Simba katoa sare na hii timu na kwa kuwa sisi tuliifunga Simba, basi hata hawa tutawafunga. Tukiingia uwanjani na hiyo timu ni aidha sare au tufungwe(rejea mechi na ahly).

Sasa kwa kigezo hicho ubora wetu upo wapi na udhaifu wa Simba upo wapi wakati wanapata matokeo na wanasonga mbele. Timu dhaifu tupo nayo Robo fainali.

Sasa hivi tunaomba eti tukutane na ASEC kwa kuwa katoa sare na Simba tunaona tutawaweza. Niwakumbushe tu mashabiki wenzamgu wa Yanga, hao ASEC waliotoa sare na Simba tukipangwa nao sisi tutapigwa. Kwa sababu tutaingia na mentally ya sisi ni bora, tukifika uwanjani mambo tofauti.

Ifike wakati zile 5 isiwe kigezo cha kutambua ubora wetu. Hata wale galaxy tuki cheza nao kesho tunaweza kupigwa au kutoa nao sare. Kwa nini, kwa sababu ya hesabu zetu za algebra kwa kuwa simba kashinda 6 na sisi tuliwafunga simba 5, basi tutawafunga galaxy 30.

Tunapoingia uwanjani na timu yoyote tusiwe na akili za hawa tutawapiga ni wepesi. Hii inatugharimu sana. Tuingie uwanjani kwa falsafa ya vita kufa au kupona. Yule msemaji wetu kiukweli nae anachangia katika kusababisha timu kufungwa kwa sababu kuna mentality anaiweka kwa wa chezaji na mashabiki kabla ya mechi. Hii ni suala la sailolojia asije mtu kusema kwani msemaji anacheza namba ngapi uwanjani. Tusiwadharau wapinzani wetu.

Nawasilisha.
Katka zama za hivi karibuni imeibuka misemo kwa sisi wana Yanga kuiona Simba ni dhaifu na sisi ni bora zaidi.
Ukiangalia mechi anazocheza Simba na timu anazokutana nazo matokeo ni tofauti kabisa na kauli ya Simba dhaifu.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Kama Simba ni dhaifu inakwaje AFL kadraw na Al Ahly Dar na akaenda kudraw Egypt, halafu nye mlipokutana nao mmedraw Dar mkapigwa Misri?ina maana Simba ingekuwa kwenye kundi la CAF na Al Ahly wangepata point 2 kwa Al Ahly na Yanga wangepata point 1 kwa Al Ahly (na huyo Al Ahly ndo aliyeogoza kundi lenu) kwa kuchukua point 4 kwenu.
Baada ya kutoka draw na Al Ahly ikawaje ikazabwa
 
Umeandika kinyume sana na uhalisia.

Tokea msimu uliopita Yanga ndiye anayezungumzwa ni timu mbovu
Kila mechi anayoshinda kwenye kombe la shirikisho, wanasema kamfunga kibinde.
Yanga kacheza fainali ya kombe la shirikisho lakini mashabiki wa Simba wanaimba wimbo mmoja kuwa hayo mashindano ni ya timu mbovu klabu bingwa ndio kuna wanaume.

Yanga msimu huu anacheza na Asas alivyoshinda, tukasikia kuwa umewafunga hao vibonde ila Al Mereikh hamchomoki.

Yanga akafuzu makundi, ile droo inafanyika kila mtu alisema kuwa Yanga hatoboi kwa ubovu alionao na timu alizopangiwa nao basi wategemee kuwa wa mwisho kwenye kundi. Ila hao Yanga wamesonga mbele, na kuonesha kufika kwao fainali msimu uliopita sio kwa kubahatisha na sio kwa kuwa walikutana na timu mbovu bali walikuwa na ubora
Hapa mleta uzi anayejifanya ni Yanga hawezi kuelewa.
 
Back
Top Bottom