Nimekubaliana na wewe kwa yote uliyonenaulimbuken
utoto ata km una 50 yrs
ujinga
upumbavu
kutokujitambua thaman yako na kuitambua thaman ya tendo na thaman ya mwandan wako
salaam alkum wandugu...naomba kuwakilisha,hivi we una boy/girl lover wako,inakuwaje mnapo kuwa mnado majambozi unakujaa kuadisia rafiki...mara ooh!yuko hivi ana nanii mda mfupi/mrefu.ni ulimbukeni au ni sifaa?
unajua kuna ile mme kaa ana pita gal unasikia jamaa nisha kulaa hii'aaaaaaaaaaaagh...kuna jamaa hivo hivo watu wakamwambia dah!kacheki afya demu ana ukimwi
huyo mjinga ullimtoa wapi:bored:
salaam alkum wandugu...naomba kuwakilisha,hivi we una boy/girl lover wako,inakuwaje mnapo kuwa mnado majambozi unakujaa kuadisia rafiki...mara ooh!yuko hivi ana nanii mda mfupi/mrefu.ni ulimbukeni au ni sifaa?