PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,997
- 1,999
Jina lake kanitajia mkoa alipo kwa sasa aisee ni girl wangu wa mkoa nikabaki mdomo wazi sikuwa na kufanya nikarukia daladala kuelekea mbezi mwisho appointment yangu na faza ikaharibika
Wakuu hii imewezekana vipi? bado jibu sipati nikijihoji
Ngoja nikushauri faza,
Siku nyingine ukiwa umemzoea tu mshichana na humpendi, ukakuta kuna kidume chenzio kimeinverst Heavily hapo fanya hivi;
Mueleze huyu msichana tumekuwa wote na hili jina la mahaba huwa namtania lakini yeye hataki. Kisha baadae mjulishe huyo msichana kuwa hujamharibia kwa mtu wake, kisha muonye aache mazoea. Don't let the normal flow of life to stop over a girl 'Uliyemzoea tu'