Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
Ina maana wewe hucheleweshwi eeh?unaanza kuniudhi tartiiiiiibu
Love malaria huwa haicheleweshiwa kutibiwa, ukiichelewesha mgonjwa anaweza kufa.....malaria haikubaliki. so siamini katka kumchelewesha mtu anahitaji kwenda mlimani....maombi ni kama dawa!