DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,676
- 3,897
Kwani mwanaume hamhudumii mwanamke, na mwanamke atazaa bila mwanaume..?hakuna logic hata kwa wanaume wanaosema kuwa wanawake wanaoingia kwenye ndoa wanaleta ushenzi. Hivi kweli mwanamke anakuhudumia na kukuzalia watoto halafu unaona ni ushenzi?
Kama mbwai na iwe mbwai, naona umekasirika.