Wana JF nimeshindwa kuelewa kwamba sherehe kubwa imekuja kufanywa Dar badala ya Igunga .Pia CCM wana Wabunge 200 plus bado wanazunguka kuandamana juu ya wiz wa Igunga .Can anyone tell me kuna siri gani hapa Mmemsikia Nape akibwabwaja na wajinga wenzake eti Upinzani na kumwaga damu .Jamani hayo mambo yamkaaje? Umemsikia Mchemba anasema Chadema wasingaliweza kupata kura hata 1000 bila ya kusaidiwa na Tume kweli hao waalimu ni 23,000 hapo Igunga ? Hii imekaaje ?
wajinga ndio wali wao wapiga kura Igunga wenye nchi washeherekea dar
kivp hapo kwenye red???kwa kugawa wali kwenye mikutano ya kampeniSasa wewe unaumia nini kwa CCM kufarahia mafanikio yao? Kwani CDM wangeshinda wewe uliye Moshi usingechekelea. Komaa kisiasa wewe!
Wana JF nimeshindwa kuelewa kwamba sherehe kubwa imekuja kufanywa Dar badala ya Igunga .Pia CCM wana Wabunge 200 plus bado wanazunguka kuandamana juu ya wiz wa Igunga .Can anyone tell me kuna siri gani hapa Mmemsikia Nape akibwabwaja na wajinga wenzake eti Upinzani na kumwaga damu .Jamani hayo mambo yamkaaje? Umemsikia Mchemba anasema Chadema wasingaliweza kupata kura hata 1000 bila ya kusaidiwa na Tume kweli hao waalimu ni 23,000 hapo Igunga ? Hii imekaaje ?
Katika hali ya kushangaza wanaJF wenzangu eti kwny ule uchaguzi uliofanyika Igunga na Magamba kushinda kwa kushindwa,, wakaanza kupita mitaani huku Moshi kusheherekea na kutoa maneno ya kebehi kwa wapinzani wao i mean CDM,,sasa ushindi wao huko kwa wananchi ambao bado hawajafunguliwa kiakili ndo wanakuja kushangilia huku kwetu ambako CCM imezikwa milele na itakaa iinuke tena. Mimi naona ni kujipa moyo tuu maana Moshi imeelimika sana ndo maana sisi hatudanganyiki kabisa. !!! Nawasilisha wadau.