Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,483
- 1,364
Nilidhani kulikuwa na vyama 8 vilivyoshiriki kaika uchaguzi wa Igunga kama ni hivyo inakuwaje CCM inaitaja Chadema pekee kila kukicha au ni kukiri kuwa kiliwahenyesha?
Inaonyesha hata kwenye ndoto zao wametawaliwa na cdm, kwani atakua mbabe wao soon