Hii imekaaje? Ni sahihi kweli??

Sizinga

Platinum Member
Oct 30, 2007
9,101
6,027
Yaani tangazo la kazi limetoka, umetuma maombi, after a month and more umepigiwa simu uende kwenye interview, umefanikiwa kwenda, baada ya interview wamekupenda na wamekupa kazi na inbrief baadhi ya vipengele vile muhimu m-meshakubaliana, na umeambiwa subiri ticket yako ndani ya siku 2 tutakupigia.

Halafu baada ya siku 2 hawajapiga...unakuwa mpole na inakaribia wiki bado hawajakuita....so ni sahihi kuwapigia simu kuwaulizia wamefikia wapi au ni sahihi kwenda ofisi zao kuulizia?? Manake isije kuonekana una kiherehere cha kazi ikawa taabu!!
Mshkaji wangu anaulizia hii imekaaje...nikamwambia subiri niende jamvini kwanza!!
 
Yaani tangazo la kazi limetoka, umetuma maombi, after a month and more umepigiwa simu uende kwenye interview, umefanikiwa kwenda, baada ya interview wamekupenda na wamekupa kazi na inbrief baadhi ya vipengele vile muhimu m-meshakubaliana, na umeambiwa subiri ticket yako ndani ya siku 2 tutakupigia.

Halafu baada ya siku 2 hawajapiga...unakuwa mpole na inakaribia wiki bado hawajakuita....so ni sahihi kuwapigia simu kuwaulizia wamefikia wapi au ni sahihi kwenda ofisi zao kuulizia?? Manake isije kuonekana una kiherehere cha kazi ikawa taabu!!
Mshkaji wangu anaulizia hii imekaaje...nikamwambia subiri niende jamvini kwanza!!

Hakuna kiherehere hapo....mtu huwezi tu kusubiria kama tunavyomsubiria Yesu! Kama mimi ndo bosi mwenyewe; halafu hutaki kuulizia, wala sitakuona kwamba hauna kiherehere but nitakuona u're weak in follow up! Ni stupid HR ndie atakuona una kiherehere kwa kuulizia; however, let it not be too much! Tell ur friend to call or go physically, na jibu atakalopewa ndilo analotakiwa kuwa mstahimilivu nalo.
 
Hakuna kiherehere hapo....mtu huwezi tu kusubiria kama tunavyomsubiria Yesu! Kama mimi ndo bosi mwenyewe; halafu hutaki kuulizia, wala sitakuona kwamba hauna kiherehere but nitakuona u're weak in follow up! Ni stupid HR ndie atakuona una kiherehere kwa kuulizia; however, let it not be too much! Tell ur friend to call or go physically, na jibu atakalopewa ndilo analotakiwa kuwa mstahimilivu nalo.

Ok good advice indeed!!
 
nakubaliana na mkuu NasDaz
kufuatilia kazi si kiherehere bali ni kuonyesha you "Care"
na kweli unataka kazi. mwambie huyo rafikio aonyeshe ya kwamba anataka kazi
na ye afuatilie na si boss kumfuatilia. maana si ye peke yake anaitaka hiyo kazi.
Usikute boss ana CV kama 50 hapo juu ya meza kwa yule anaefuatilia na anaonyesha "commitment" fulani
ndie mwenye chansi kubwa ya kupata kazi. Mwambie rafikio kila lakheri . Na afuatilie, na ikibidi ofisini aende.
 
Last edited by a moderator:
nakubaliana na mkuu NasDaz
kufuatilia kazi si kiherehere bali ni kuonyesha you "Care"
na kweli unataka kazi. mwambie huyo rafikio aonyeshe ya kwamba anataka kazi
na ye afuatilie na si boss kumfuatilia. maana si ye peke yake anaitaka hiyo kazi.
Usikute boss ana CV kama 50 hapo juu ya meza kwa yule anaefuatilia na anaonyesha "commitment" fulani
ndie mwenye chansi kubwa ya kupata kazi. Mwambie rafikio kila lakheri . Na afuatilie, na ikibidi ofisini aende.

Waoh...thanks, ngoja nimjulishe fasta aende!!
 
Asipouliza ataonekana hayupo serious huenda ni mtego kujua kama ni mfuatiliaji au la. Hapo hakuna jinsi awapigie simu au aende kabisa kuwauliza.
 
Asipoteze muda, kama ni jirani aende, kama ni mbali apige simu kuulizia.Nadhani ndiyo maana hasa ya kupeana mawasiliano!
Kazi za siku hizi haziaminiki, unaweza kuta jamaa kawahonga huko, yuko katika process za kukupora nafasi, bora umfumanie kenye makorido kabla hajakuharibia zaidi!
 
Aende phisically tena ahakikishe anaonana na senior personel officer kwa sababu kinachofanyika ni kwamba wakati mwingine mtu anapewa jukumu la kumpigia simu. Huyo mtu kama anataka kumpa hiyo kazi mtu mwingine anaweza kureport kwa boss kuwa hampati kwa simu. Baadae boss anasema basi mpigieni yule mwingine, hapo ndio jamaa anaingiza mtu wake.
 
Bado hujaeleweka vizuri. Unasema mmekubaliana na tayari umeshapewa kazi.Umepewaje kazi? kwa mdomo au kwa contract?. kama umesaign contract nafikiri terms ziko wazi na huna haja ya kupaparika as long as wamekwambia watakupigia na kama huwezi kuanza hiyo kazi mpaka wakupe ticket then tulia na mshahara wako uko palepale. Unless utuambie ukweli kwamba kazi hujapata then nita-advise otherwise. Let's work in a professional manner
 
Sometimes unawezakuwa walikupigia hukupatikana. Its ok and very professional kuulizia. Ila sasa usije ukaulizia kama mtoto mdogo. Waulize when do they think watakuwa ready, na iwapo hujawasikia when next can you check with them again.
 
Hakuna kiherehere hapo....mtu huwezi tu kusubiria kama tunavyomsubiria Yesu! Kama mimi ndo bosi mwenyewe; halafu hutaki kuulizia, wala sitakuona kwamba hauna kiherehere but nitakuona u're weak in follow up! Ni stupid HR ndie atakuona una kiherehere kwa kuulizia; however, let it not be too much! Tell ur friend to call or go physically, na jibu atakalopewa ndilo analotakiwa kuwa mstahimilivu nalo.


Mkuu hapo kwenye Red ulikosa kabisa neno lingine la kuweka hapo??
 
Bado hujaeleweka vizuri. Unasema mmekubaliana na tayari umeshapewa kazi.Umepewaje kazi? kwa mdomo au kwa contract?. kama umesaign contract nafikiri terms ziko wazi na huna haja ya kupaparika as long as wamekwambia watakupigia na kama huwezi kuanza hiyo kazi mpaka wakupe ticket then tulia na mshahara wako uko palepale. Unless utuambie ukweli kwamba kazi hujapata then nita-advise otherwise. Let's work in a professional manner

Ok, nimesema baadhi ya vipengele muhimu vya mkataba tayari vimeshakubaliwa...hii ni just kwa mdomo tu like salary and contract of working, accomodation, food and transport.
So wakasema subiria air ticket yako within two days itakuwa iko pouwa then utajulishwa everythng. Thatz all
 
Naona nimechelewa si kiherehere ni kuonyesha unajali Siziga hujambo lakini habari za Ntwara??

:bolt:Halafu weye Dena Amsi kukaa kimy kote manake ndio nini?? Haya usharudi toka kule kwa watani zetu? Ntara bana sijaenda nadhani ndani ya wiki hii nitaenda kuwasalimu, Im complishing smthng here now.
Mzima lakini...manake nimekumiss mno..
 
Sometimes unawezakuwa walikupigia hukupatikana. Its ok and very professional kuulizia. Ila sasa usije ukaulizia kama mtoto mdogo. Waulize when do they think watakuwa ready, na iwapo hujawasikia when next can you check with them again.

Good advice..ngoja niupdae hapo juu...manake tayari tushawapandia hewani
 
Yaani tangazo la kazi limetoka, umetuma maombi, after a month and more umepigiwa simu uende kwenye interview, umefanikiwa kwenda, baada ya interview wamekupenda na wamekupa kazi na inbrief baadhi ya vipengele vile muhimu m-meshakubaliana, na umeambiwa subiri ticket yako ndani ya siku 2 tutakupigia.

Halafu baada ya siku 2 hawajapiga...unakuwa mpole na inakaribia wiki bado hawajakuita....so ni sahihi kuwapigia simu kuwaulizia wamefikia wapi au ni sahihi kwenda ofisi zao kuulizia?? Manake isije kuonekana una kiherehere cha kazi ikawa taabu!!
Mshkaji wangu anaulizia hii imekaaje...nikamwambia subiri niende jamvini kwanza!!
mi nilitokea na scenario kama hiyo ilikuwa ni MD kusign tu nikaambiwa nisubiri ila nilikuwa nafutalia na nilikuwa na mulizia HR na alikuwa ananipa majibu yanayostahili ni haki yake kuuliza mkuu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom