macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,824
- 39,658
Niko social vya kutosha kabisa mkuu, sometimes hata mtu akiniona siku ya kwanza hapo hapo ananihisi
Ndugu wewe umesema (na unadhani) uko social vya kutosha. Lakini inawezekana unaji-assess vibaya. Huko social vya kutosha au u-social wako ni wa kidadisi dadisi. Watu wengi wanaohisiwa ni polisi au wapeleleze huwa wanakuwa hawako social na hawachanganyiki sana na watu wa kawaida kwenye shughuli za kawaida. Na ndio maana mtu akikuona tu mara ya kwanza anakudhania vingine, kwani kwa dakika za kwanza tu anakusoma unavyo-behave.