Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 5,549
- 8,765
Dereva na konda wanaenda kuwa demo 😃😃Huyo jamaa leo atapigwa sana.
Dereva na konda wanaenda kuwa demo 😃😃Huyo jamaa leo atapigwa sana.
Unadhani CDF ni mtendaji wa kata..?Ni upuuzi tu CDF nae kiwa na msafara wa kusimamisha magari.
Unayajua mamlaka ya CDF..? Kama hujui bora uulizeNi sheria gani inayompa mamlaka CDF akimbizwe na ving'ora?
VIP ya wapi? Hata baba ni VIP nyumbani sio kila mahali.
Kwa hiyo asipoingiliwa katika msafara hatakufa?Mkituulia CDF sisi tutafanyaje?
Wanadhani CDF ni mwenyekiti wa chama, yule ni 4🌟 general ...Unaijua gharama ya kumtengeneza CDF wewe?
Hahahaaa leo nimemfahamu jinga kubwa mmoja asiyejua kuwa gari na mshahara wa CDF ni kodi zetu ndio hutumika 😁Wanakula Kodi zenu!?..hela mlichapisha nyinyi!?
Kwa hiyo sisi hatuwezi kuwa na barabara nyingi na pana?Huko barabara nyingi na pana. Jamaa wana survey njia kabla ya kutoka, then wanatoka kama kusimamishwa ni kwenye junction anapokatiza
Nieleze sheria sio kuniuliza mamlaka. Usidhani kila mtu humu ni mjinga.Unayajua mamlaka ya CDF..? Kama hujui bora uulize
Ya wakuu wengine kama Rais , hadi waziri mkuu sawa.. lakini hawa wanajeshi huwa hawasimamishi watu hata dk 2.Nimeongelea misafara ya Tanzania.
Kila boss ana msafara, inji hii ngumu sana.Watu wanachoka jamani mtu mnasimamishwa saa nzima kumngojea mtu apite hii si haki.
kumbe kuandika vzur unajua mbona siku nyingne hua una tuchanganyia mamboAiseeee kunaaa mambo ambayoo yakifanyikaa mpaka unaogopa, nipo maeneo ya mbezi na askari wa mp wamewapigisha kwata dereva na konda wake.Kilichotokea inasikitisha sana na mpaka tumesHAURIII wakampime dereva kilevii.
Msafara wa cdf ulikuwa unapita lakini kabla ya kupita walisimama ma MP kadhaa kuzuia magari na kusafisha njia.
Sasa ndugu yetu huyu wa daladala ametokea goba na speed anaenda mbeza, Askari wa MP wakamsimamisha jamaa akahisi utan akawa anampelekea MPgari.
Jamaa kulinda pumzi akasogea pemben huku anamsimamisha, yaan gari ya mwisho inapita kaipelekea juhudi za drevaaa wa msafara kuikwepa ilikuwa ajali ya kiajabu kabisaa.
Naamini wameleekea mahali stahili baada ya kushusha abiria na adhabu watakayopata aisee iwe fundisho kwa magari yote kuheshimu misafara ya viongozi na hasa pale wanapopewa alama ya kusimama kupisha msafara.
Polen sana wote mliohusika Mungu azidi kulinda misafara yenu
Amen.
So far imepigwa simu dreva na mp wameelekea kurudi njia ya gob bado na googlre wanapoelekea ila nawatakia pole huko waendakoo naamini mp watamfikiria zaidi konda ambae kihualisia ahusiki na yaliyotokea
Mungu endelea kuwatunza viongozi wetu wape heri na uhai wako kututumikia daima amen
Kuna uwezekano gari ilifeli breki...halafu hii tabia ya kujichukulia sheria kwa wanajeshi nadhani ifikie kipindi ikomeshwe huyo derevan na konda walipaswa kupelekwa kwa mamlaka husika ili hatua za kisheria zifuateAiseeee kunaaa mambo ambayoo yakifanyikaa mpaka unaogopa, nipo maeneo ya mbezi na askari wa mp wamewapigisha kwata dereva na konda wake.Kilichotokea inasikitisha sana na mpaka tumesHAURIII wakampime dereva kilevii.
Msafara wa cdf ulikuwa unapita lakini kabla ya kupita walisimama ma MP kadhaa kuzuia magari na kusafisha njia.
Sasa ndugu yetu huyu wa daladala ametokea goba na speed anaenda mbeza, Askari wa MP wakamsimamisha jamaa akahisi utan akawa anampelekea MPgari.
Jamaa kulinda pumzi akasogea pemben huku anamsimamisha, yaan gari ya mwisho inapita kaipelekea juhudi za drevaaa wa msafara kuikwepa ilikuwa ajali ya kiajabu kabisaa.
Naamini wameleekea mahali stahili baada ya kushusha abiria na adhabu watakayopata aisee iwe fundisho kwa magari yote kuheshimu misafara ya viongozi na hasa pale wanapopewa alama ya kusimama kupisha msafara.
Polen sana wote mliohusika Mungu azidi kulinda misafara yenu
Amen.
So far imepigwa simu dreva na mp wameelekea kurudi njia ya gob bado na googlre wanapoelekea ila nawatakia pole huko waendakoo naamini mp watamfikiria zaidi konda ambae kihualisia ahusiki na yaliyotokea
Mungu endelea kuwatunza viongozi wetu wape heri na uhai wako kututumikia daima amen
Hata waliombeba pia kazi wanayoNi taratibu tulizojiwekea, zipo siku zote. Hawa daladala ni kati ya watu wapuuzi sana barabarani wakifuatiwa na boda boda. Huyo dereva kama wameondoka nae, kazi anayo.
Unawaza kama umetoka kufirimbwa, kwa nini umwue kabla ya siku zake? Kamwulize huyo ndugu yako habari anazo! Hatakaa arudie ujinga!Kwa hiyo asipoingiliwa katika msafara hatakufa?
Unawaza kama huna akili vile.
Unawaza kama umetoka kufirimbwa, kwa nini umwue kabla ya siku zake? Kamwulize huyo ndugu yako habari anazo! Hatakaa arudie ujinga!
Aiseeee kunaaa mambo ambayoo yakifanyikaa mpaka unaogopa, nipo maeneo ya mbezi na askari wa mp wamewapigisha kwata dereva na konda wake.Kilichotokea inasikitisha sana na mpaka tumesHAURIII wakampime dereva kilevii.
Msafara wa cdf ulikuwa unapita lakini kabla ya kupita walisimama ma MP kadhaa kuzuia magari na kusafisha njia.
Sasa ndugu yetu huyu wa daladala ametokea goba na speed anaenda mbeza, Askari wa MP wakamsimamisha jamaa akahisi utan akawa anampelekea MPgari.
Jamaa kulinda pumzi akasogea pemben huku anamsimamisha, yaan gari ya mwisho inapita kaipelekea juhudi za drevaaa wa msafara kuikwepa ilikuwa ajali ya kiajabu kabisaa.
Naamini wameleekea mahali stahili baada ya kushusha abiria na adhabu watakayopata aisee iwe fundisho kwa magari yote kuheshimu misafara ya viongozi na hasa pale wanapopewa alama ya kusimama kupisha msafara.
Polen sana wote mliohusika Mungu azidi kulinda misafara yenu
Amen.
So far imepigwa simu dreva na mp wameelekea kurudi njia ya gob bado na googlre wanapoelekea ila nawatakia pole huko waendakoo naamini mp watamfikiria zaidi konda ambae kihualisia ahusiki na yaliyotokea
Mungu endelea kuwatunza viongozi wetu wape heri na uhai wako kututumikia daima amen
CDF asilinganishwe na kajamba nani!Ni upuuzi tu CDF nae kiwa na msafara wa kusimamisha magari.
Mkuu CDF asilinganishwe na kajamba nani.Watu wenye akili kama yako ndio mnaowapa kiburi wala kodi za wananchi.
Siku mkiacha ujinga bongo itakuwa kama UK