Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 52,041
- 23,576
Aiseeee kuna mambo ambayo yakifanyika mpaka unaogopa, nipo maeneo ya Mbezi na askari wa MP wamewapigisha kwata dereva na konda wake. Kilichotokea inasikitisha sana na mpaka tumeshauri wakampime dereva kilevi.
Msafara wa CDF ulikuwa unapita lakini kabla ya kupita walisimama ma MP kadhaa kuzuia magari na kusafisha njia.
Sasa ndugu yetu huyu wa daladala ametokea Goba na speed anaenda Mbeza, Askari wa MP wakamsimamisha jamaa akahisi utani akawa anampelekea MP gari.
Jamaa kulinda pumzi akasogea pembeni huku anamsimamisha, yaani gari ya mwisho inapita kaipelekea juhudi za dereva wa msafara kuikwepa ilikuwa ajali ya kiajabu kabisa.
Naamini wameleekea mahali stahili baada ya kushusha abiria na adhabu watakayopata aisee iwe fundisho kwa magari yote kuheshimu misafara ya viongozi na hasa pale wanapopewa alama ya kusimama kupisha msafara.
Polen sana wote mliohusika Mungu azidi kulinda misafara yenu
Amen.
So far imepigwa simu dreva na MP wameelekea kurudi njia ya Goba bado na googlre wanapoelekea ila nawatakia pole huko waendako naamini MP watamfikiria zaidi konda ambae kihualisia ahusiki na yaliyotokea
Mungu endelea kuwatunza viongozi wetu wape heri na uhai wako kututumikia daima amen
Msafara wa CDF ulikuwa unapita lakini kabla ya kupita walisimama ma MP kadhaa kuzuia magari na kusafisha njia.
Sasa ndugu yetu huyu wa daladala ametokea Goba na speed anaenda Mbeza, Askari wa MP wakamsimamisha jamaa akahisi utani akawa anampelekea MP gari.
Jamaa kulinda pumzi akasogea pembeni huku anamsimamisha, yaani gari ya mwisho inapita kaipelekea juhudi za dereva wa msafara kuikwepa ilikuwa ajali ya kiajabu kabisa.
Naamini wameleekea mahali stahili baada ya kushusha abiria na adhabu watakayopata aisee iwe fundisho kwa magari yote kuheshimu misafara ya viongozi na hasa pale wanapopewa alama ya kusimama kupisha msafara.
Polen sana wote mliohusika Mungu azidi kulinda misafara yenu
Amen.
So far imepigwa simu dreva na MP wameelekea kurudi njia ya Goba bado na googlre wanapoelekea ila nawatakia pole huko waendako naamini MP watamfikiria zaidi konda ambae kihualisia ahusiki na yaliyotokea
Mungu endelea kuwatunza viongozi wetu wape heri na uhai wako kututumikia daima amen