Hii daladala iliyotaka kuleta ajali msafara wa CDF iadhibiwe, haina adabu

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
52,041
23,576
Aiseeee kuna mambo ambayo yakifanyika mpaka unaogopa, nipo maeneo ya Mbezi na askari wa MP wamewapigisha kwata dereva na konda wake. Kilichotokea inasikitisha sana na mpaka tumeshauri wakampime dereva kilevi.

Msafara wa CDF ulikuwa unapita lakini kabla ya kupita walisimama ma MP kadhaa kuzuia magari na kusafisha njia.

Sasa ndugu yetu huyu wa daladala ametokea Goba na speed anaenda Mbeza, Askari wa MP wakamsimamisha jamaa akahisi utani akawa anampelekea MP gari.

Jamaa kulinda pumzi akasogea pembeni huku anamsimamisha, yaani gari ya mwisho inapita kaipelekea juhudi za dereva wa msafara kuikwepa ilikuwa ajali ya kiajabu kabisa.

Naamini wameleekea mahali stahili baada ya kushusha abiria na adhabu watakayopata aisee iwe fundisho kwa magari yote kuheshimu misafara ya viongozi na hasa pale wanapopewa alama ya kusimama kupisha msafara.

Polen sana wote mliohusika Mungu azidi kulinda misafara yenu

Amen.

So far imepigwa simu dreva na MP wameelekea kurudi njia ya Goba bado na googlre wanapoelekea ila nawatakia pole huko waendako naamini MP watamfikiria zaidi konda ambae kihualisia ahusiki na yaliyotokea

Mungu endelea kuwatunza viongozi wetu wape heri na uhai wako kututumikia daima amen
 
Siku moja natokea Kinyerezi kwenda Mbezi nikashangaa pale Malamba mawili tunasimamishwa na mMP saa 12 asubuhi.
Kuuliza kuna nini, ndo nikaarifiwa CDF anatoka Nyumbani kwake kwenda kwenye majukumu.

Ni muhimu sana kuheshimu mamlaka
 
20211217_020932.jpg
 
Huyo jamaa leo atapigwa sana...

Lakini tujiulize, kipigo ni njia sahihi ya kurekebisha maadili ya mtu?

Kama jibu ni ndio, kwanini tusitumie njia hii kwa viongozi wetu wasio na maadili!

Mfano mtu amefanya ufisadi anapelekwa jeshini, anapigwa sana.
 
Wanasumbua watu tu, msafara unaostahili ni Rais, PM na VP. Hao wengine wanalazimisha tu. Misafara kuanzia mkuu wa wilaya,mkuu wa mkoa, IGP,CGI,mkuu wa magereza,CS wanalazimisha tu. Nimeona awamu zote za Urais kuanzia Nyerere haya mambo yamekuja awamu mbili za mwisho. Awamu ya JK na hii ya JPM/SSH.
 
Aiseeee kunaaa mambo ambayoo yakifanyikaa mpaka unaogopa, nipo maeneo ya mbezi na askari wa mp wamewapigisha kwata dereva na konda wake.Kilichotokea inasikitisha sana na mpaka tumesHAURIII wakampime dereva kilevii.

Msafara wa cdf ulikuwa unapita lakini kabla ya kupita walisimama ma MP kadhaa kuzuia magari na kusafisha njia.

Sasa ndugu yetu huyu wa daladala ametokea goba na speed anaenda mbeza, Askari wa MP wakamsimamisha jamaa akahisi utan akawa anampelekea MPgari.

Jamaa kulinda pumzi akasogea pemben huku anamsimamisha, yaan gari ya mwisho inapita kaipelekea juhudi za drevaaa wa msafara kuikwepa ilikuwa ajali ya kiajabu kabisaa.

Naamini wameleekea mahali stahili baada ya kushusha abiria na adhabu watakayopata aisee iwe fundisho kwa magari yote kuheshimu misafara ya viongozi na hasa pale wanapopewa alama ya kusimama kupisha msafara.

Polen sana wote mliohusika Mungu azidi kulinda misafara yenu

Amen.

So far imepigwa simu dreva na mp wameelekea kurudi njia ya gob bado na googlre wanapoelekea ila nawatakia pole huko waendakoo naamini mp watamfikiria zaidi konda ambae kihualisia ahusiki na yaliyotokea

Mungu endelea kuwatunza viongozi wetu wape heri na uhai wako kututumikia daima amen
Waambie waache kupita wrong side. Unashtukia MPs tu wanakuja mbio na kurusha mikono upande wako kisa upande wa pili wamekuta foleni. Waache mambo ya ajabu.
 
Aiseeee kunaaa mambo ambayoo yakifanyikaa mpaka unaogopa, nipo maeneo ya mbezi na askari wa mp wamewapigisha kwata dereva na konda wake.Kilichotokea inasikitisha sana na mpaka tumesHAURIII wakampime dereva kilevii.

Msafara wa cdf ulikuwa unapita lakini kabla ya kupita walisimama ma MP kadhaa kuzuia magari na kusafisha njia.

Sasa ndugu yetu huyu wa daladala ametokea goba na speed anaenda mbeza, Askari wa MP wakamsimamisha jamaa akahisi utan akawa anampelekea MPgari.

Jamaa kulinda pumzi akasogea pemben huku anamsimamisha, yaan gari ya mwisho inapita kaipelekea juhudi za drevaaa wa msafara kuikwepa ilikuwa ajali ya kiajabu kabisaa.

Naamini wameleekea mahali stahili baada ya kushusha abiria na adhabu watakayopata aisee iwe fundisho kwa magari yote kuheshimu misafara ya viongozi na hasa pale wanapopewa alama ya kusimama kupisha msafara.

Polen sana wote mliohusika Mungu azidi kulinda misafara yenu

Amen.

So far imepigwa simu dreva na mp wameelekea kurudi njia ya gob bado na googlre wanapoelekea ila nawatakia pole huko waendakoo naamini mp watamfikiria zaidi konda ambae kihualisia ahusiki na yaliyotokea

Mungu endelea kuwatunza viongozi wetu wape heri na uhai wako kututumikia daima amen
Ungetuwekea na kapicha ingependeza sana
 
Huyo jamaa leo atapigwa sana...

Lakini tujiulize, kipigo ni njia sahihi ya kurekebisha maadili ya mtu?

Kama jibu ni ndio, kwanini tusitumie njia hii kwa viongozi wetu wasio na maadili!

Mfano mtu amefanya ufisadi anapelekwa jeshini, anapigwa sana.
Mvunja Sheria Jeshini hapigwi bali anapewa mazoezi ya kuchangamsha ubongo wake uwe timamu na mwili wake uwe fit bhas 😊
 
Back
Top Bottom