Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,991
- 12,550
Wacha tumalizane naye atakuja akusimulie kama ilikuwa njia sahihi au la! Raia mna dharau sana!Lakini tujiulize, kipigo ni njia sahihi ya kurekebisha maadili ya mtu?
Wacha tumalizane naye atakuja akusimulie kama ilikuwa njia sahihi au la! Raia mna dharau sana!Lakini tujiulize, kipigo ni njia sahihi ya kurekebisha maadili ya mtu?
Nimeongelea misafara ya Tanzania.Huwa hasimamishi watu zaidi ya dk 2.. hao askali huwa wanaclear barabara akiwa anapita
No! Wajeshi walisimamia wapelekwe hadi wanapoishia then wakarudi na wenye gari kwaajili ya chaiKwahio raia nao walienda kupata chai pamoja na mkuu😂
Hivi anaishi Dar au Dodoma maana HQ ni hukoMakazi ya CDF yawe hapo hapo makao makuu ya jeshi ili kupunguza Kero Kwa raia.
Misafara isiyo na tija, haki za wananchi zinapokwa kwa kuwaendekeza wanaoitwa viongozi. Kupotezeana muda tu.Aiseeee kunaaa mambo ambayoo yakifanyikaa mpaka unaogopa, nipo maeneo ya mbezi na askari wa mp wamewapigisha kwata dereva na konda wake.Kilichotokea inasikitisha sana na mpaka tumesHAURIII wakampime dereva kilevii.
Msafara wa cdf ulikuwa unapita lakini kabla ya kupita walisimama ma MP kadhaa kuzuia magari na kusafisha njia.
Sasa ndugu yetu huyu wa daladala ametokea goba na speed anaenda mbeza, Askari wa MP wakamsimamisha jamaa akahisi utan akawa anampelekea MPgari.
Jamaa kulinda pumzi akasogea pemben huku anamsimamisha, yaan gari ya mwisho inapita kaipelekea juhudi za drevaaa wa msafara kuikwepa ilikuwa ajali ya kiajabu kabisaa.
Naamini wameleekea mahali stahili baada ya kushusha abiria na adhabu watakayopata aisee iwe fundisho kwa magari yote kuheshimu misafara ya viongozi na hasa pale wanapopewa alama ya kusimama kupisha msafara.
Polen sana wote mliohusika Mungu azidi kulinda misafara yenu
Amen.
So far imepigwa simu dreva na mp wameelekea kurudi njia ya gob bado na googlre wanapoelekea ila nawatakia pole huko waendakoo naamini mp watamfikiria zaidi konda ambae kihualisia ahusiki na yaliyotokea
Mungu endelea kuwatunza viongozi wetu wape heri na uhai wako kututumikia daima amen
Haswa, ila hawaoni haya, kutaka kuabudiwa tu!Huyo wanaempiga ndio anawatafutia hela ya hayo magari wanayotusumbua nayo.
Msafara wa cdf hauchukuagi hata dakika tano keshapita zake.Watu wanachoka jamani mtu mnasimamishwa saa nzima kumngojea mtu apite hii si haki.
Dah nimecheka
Achanamuunga mkono huyo dereva daladala nchi yetu sio yakifalme huyo cdf angeamka saa kumi asubuhi awahi majukumu sio kusumbua watu wanao pambana mtu una mshahara huko unaharibu hesabu za watu kwenda huko mkapigane kongo.
😂😂😂😂😂😂No! Wajeshi walisimamia wapelekwe hadi wanapoishia then wakarudi na wenye gari kwaajili ya chai
Hivi hii ya kusimamishwa ili kupisha misafara ya wanakula kodi zetu ipo hadi huko kwa kibabu Joe Biden au ni huku bongo tu?kuheshimu misafara ya viongozi na hasa pale wanapopewa alama ya kusimama kupisha msafara.
Hata mimi naunga mguunamuunga mkono huyo dereva daladala nchi yetu sio yakifalme huyo cdf angeamka saa kumi asubuhi awahi majukumu sio kusumbua watu wanao pambana mtu una mshahara huko unaharibu hesabu za watu kwenda huko mkapigane kongo.
Hapo hao abiria wamenuna njia nzima kimyaahata wale mammp nimewapenda sana traffic alipokuja akawashusha abiria janaa wakasemaa no tupabde nao wakashuke tumalizane nao hawa aisee niliogopa walipanda wanne tu
Hii daladala iliyotaka kuleta akali iadhibiwe haina adabu😇😇😇😇.Daladala inakuwaje na adabu?Aiseeee kunaaa mambo ambayoo yakifanyikaa mpaka unaogopa, nipo maeneo ya mbezi na askari wa mp wamewapigisha kwata dereva na konda wake.Kilichotokea inasikitisha sana na mpaka tumesHAURIII wakampime dereva kilevii.
Msafara wa cdf ulikuwa unapita lakini kabla ya kupita walisimama ma MP kadhaa kuzuia magari na kusafisha njia.
Sasa ndugu yetu huyu wa daladala ametokea goba na speed anaenda mbeza, Askari wa MP wakamsimamisha jamaa akahisi utan akawa anampelekea MPgari.
Jamaa kulinda pumzi akasogea pemben huku anamsimamisha, yaan gari ya mwisho inapita kaipelekea juhudi za drevaaa wa msafara kuikwepa ilikuwa ajali ya kiajabu kabisaa.
Naamini wameleekea mahali stahili baada ya kushusha abiria na adhabu watakayopata aisee iwe fundisho kwa magari yote kuheshimu misafara ya viongozi na hasa pale wanapopewa alama ya kusimama kupisha msafara.
Polen sana wote mliohusika Mungu azidi kulinda misafara yenu
Amen.
So far imepigwa simu dreva na mp wameelekea kurudi njia ya gob bado na googlre wanapoelekea ila nawatakia pole huko waendakoo naamini mp watamfikiria zaidi konda ambae kihualisia ahusiki na yaliyotokea
Mungu endelea kuwatunza viongozi wetu wape heri na uhai wako kututumikia daima amen
Huko barabara nyingi na pana. Jamaa wana survey njia kabla ya kutoka, then wanatoka kama kusimamishwa ni kwenye junction anapokatizaHivi hii ya kusimamishwa ili kupisha misafara ya wanakula kodi zetu ipo hadi huko kwa kibabu Joe Biden au ni huku bongo tu?
Pale ngome upanga siyo hq!?Hivi anaishi Dar au Dodoma maana HQ ni huko
Wanakula Kodi zenu!?..hela mlichapisha nyinyi!?Hivi hii ya kusimamishwa ili kupisha misafara ya wanakula kodi zetu ipo hadi huko kwa kibabu Joe Biden au ni huku bongo tu?