PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Mimi mwenyewe nimekuona kwenye T224BET!...umenipita ka hunijui aisee, hv hujaona nilikuwa na pancha ya mguu wa kati mwenziyo aisee!!nilikuona ulivyovaa.....ulitoka bomba sana.....
Mimi mwenyewe nimekuona kwenye T224BET!...umenipita ka hunijui aisee, hv hujaona nilikuwa na pancha ya mguu wa kati mwenziyo aisee!!nilikuona ulivyovaa.....ulitoka bomba sana.....
kwa kweli endeleeni tu, nikijaga arusha, huwa nipo indoors tu! sipendi kwa kweli, lol!asante dia, baridi ina wenyewe na wenyewe ndo sisi.....full kuienjoy.....rahajeeeeee......
nikija nitakutafuta unieleweshe raha yake ikoje!Baridi inaraha yake bibie..
Mimi mwenyewe nimekuona kwenye T224BET!...umenipita ka hunijui aisee, hv hujaona nilikuwa na pancha ya mguu wa kati mwenziyo aisee!!
Waungwana hii winter ya leo na haka kamvua kanakonyesha ni hatari.
Hapa nilipo nimevaa boshori, bonge ya sweta , jinsi , chini nina soksi za sufu yote nikatika kujihami na hii baridi.
nikija nitakutafuta unieleweshe raha yake ikoje!
Ili baridi isizidi piga kisusio na siminof na wakina Preta ukae nao karibu mpige story za hapa na pale
Kweli mkuu... eti hiyo Siminof ndo nn tena..
Jomba ulipita Arusha lini mara ya mwisho? kwa kukukadiria haiwezi kuwa zaidi ya 2005 maana unaongea mambo ya kale! Ni Sminnorf gani utapata 77 Hotel?we nenda hapo nguru doto au 77 counter waambie wakupatiye hiyo kitu weka barafu tu... lakini uwe umegonga katrupa
Jomba ulipita Arusha lini mara ya mwisho? kwa kukukadiria haiwezi kuwa zaidi ya 2005 maana unaongea mambo ya kale! Ni Sminnorf gani utapata 77 Hotel?