Tausi khamisi
New Member
- Jul 17, 2011
- 1
- 0
Am a new comer hw z jamiiForums jamani
Haaaaa! Kumbe ndo wewe.....! Si tulipishana kule round about, we hukuniona? Jamani...... sikujua kama unakuja huku nyumbani kwetu!! karibu sana mwaya....JF is so good! Kuna walimu, wanasheria, madaktari, wachungaji na masheikh, kuna wanasiasa, watalaam wa uchumi, sayansi na teknolojia pia wanapatikana. Tuna watalaam wa saikologia vilevile tunatoa ushauri buree.....na mambo mengine mazuri sana! U are warmly welcome dear!Am a new comer hw z jamiiForums jamani
Haswaaaaaa....!Na yeye atoe mchango wake humu katika maswala amboyo ana ujuzi nayo,atujuze au sio jamani!!!
Kwani....is it too late? Ha ha ha haaaa! It is still the night, the darkness can disappear lol!U a at the right place at a wrong time as the country is in total darkness baby!!!