Am new member

Am new member mekua nkipitia nakala mbali mbali umu kujifunza now nimeamua kujiunga kabisa naomben mwongozo
Mwongozo wa kwanza andika kiswahili usilete kiingereza cha kuunganunga.
Muongozo wa pili usiwe chawa wa ccm .
Muongozo wa tatu tunasema nimekuwa nikipitia sio mekua nkipitia ukiandika hivyo unakua huna tofauti na MZURI SANA ukijipekecha kwa kauli hizo utapakatwa na UMUGHAKA
Muongozo wa nne kuja jamaa anaitwa GENTAMYCINE huyu usimvuruge wala usilete ujuaji
Muongozo wa tano jitahidi kutoa likes kama raraa reree au Leejay49
 
Mwongozo wa kwanza andika kiswahili usilete kiingereza cha kuunganunga.
Muongozo wa pili usiwe chawa wa ccm .
Muongozo wa tatu tunasema nimekuwa nikipitia sio mekua nkipitia ukiandika hivyo unakua huna tofauti na MZURI SANA ukijipekecha kwa kauli hizo utapakatwa na UMUGHAKA
Muongozo wa nne kuja jamaa anaitwa GENTAMYCINE huyu usimvuruge wala usilete ujuaji
Muongozo wa tano jitahidi kutoa likes kama raraa reree au Leejay49
Nadhani muongozo umeeleweka mkuu
 
Mwongozo wa kwanza andika kiswahili usilete kiingereza cha kuunganunga.
Muongozo wa pili usiwe chawa wa ccm .
Muongozo wa tatu tunasema nimekuwa nikipitia sio mekua nkipitia ukiandika hivyo unakua huna tofauti na MZURI SANA ukijipekecha kwa kauli hizo utapakatwa na UMUGHAKA
Muongozo wa nne kuja jamaa anaitwa GENTAMYCINE huyu usimvuruge wala usilete ujuaji
Muongozo wa tano jitahidi kutoa likes kama raraa reree au Leejay49
Nimemiss nyuzi za MZURI SANA sijui kapotelea wapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom