Mr C Kauli huru
Member
- Nov 26, 2023
- 88
- 120
Am new member mekua nkipitia nakala mbali mbali umu kujifunza now nimeamua kujiunga kabisa naomben mwongozo
Mwongozo wa kwanza andika kiswahili usilete kiingereza cha kuunganunga.Am new member mekua nkipitia nakala mbali mbali umu kujifunza now nimeamua kujiunga kabisa naomben mwongozo
WanakuuuujaaaaSubiri waje kukupa muongozo
Nadhani muongozo umeeleweka mkuuMwongozo wa kwanza andika kiswahili usilete kiingereza cha kuunganunga.
Muongozo wa pili usiwe chawa wa ccm .
Muongozo wa tatu tunasema nimekuwa nikipitia sio mekua nkipitia ukiandika hivyo unakua huna tofauti na MZURI SANA ukijipekecha kwa kauli hizo utapakatwa na UMUGHAKA
Muongozo wa nne kuja jamaa anaitwa GENTAMYCINE huyu usimvuruge wala usilete ujuaji
Muongozo wa tano jitahidi kutoa likes kama raraa reree au Leejay49
Hahaha sasa akajifanye yeye ni kama kina Lucas mwashambwa akione cha mtema kuni😂😂Nadhani muongozo umeeleweka mkuu
Atakutana na akina Dr hyperkid wamnyooshe😂😂Hahaha sasa akajifanye yeye ni kama kina Lucas mwashambwa akione cha mtema kuni😂😂
Nimemiss nyuzi za MZURI SANA sijui kapotelea wapiMwongozo wa kwanza andika kiswahili usilete kiingereza cha kuunganunga.
Muongozo wa pili usiwe chawa wa ccm .
Muongozo wa tatu tunasema nimekuwa nikipitia sio mekua nkipitia ukiandika hivyo unakua huna tofauti na MZURI SANA ukijipekecha kwa kauli hizo utapakatwa na UMUGHAKA
Muongozo wa nne kuja jamaa anaitwa GENTAMYCINE huyu usimvuruge wala usilete ujuaji
Muongozo wa tano jitahidi kutoa likes kama raraa reree au Leejay49
Mhh staki kuongeaNimemiss nyuzi za MZURI SANA sijui kapotelea wapi
Mbona yupo kwa I'd zake nyingine 😂😂Nimemiss nyuzi za MZURI SANA sijui kapotelea wapi
Naomba post yake ya hivi karibuni nikamsome nichekeMbona yupo kwa I'd zake nyingine 😂😂