K kudos Member Jan 19, 2012 6 1 Jan 27, 2012 #1 Habarini wana jf, jamani mie ndo nimechupa kwenye jukwaa nimependa mengi, tuelimishane tupashane habari.. naomba mnikaribishe..!
Habarini wana jf, jamani mie ndo nimechupa kwenye jukwaa nimependa mengi, tuelimishane tupashane habari.. naomba mnikaribishe..!
Kiraka Kikuu JF-Expert Member Oct 3, 2011 5,904 1,976 Jan 27, 2012 #2 Karibu...jsikie upo chumbani!!!
M Mgaya D.W JF-Expert Member Jan 20, 2012 965 475 Jan 30, 2012 #5 karibu sana hope kupata meng toka kwako pia.
Michael Amon JF-Expert Member Dec 22, 2008 8,775 3,610 Jan 30, 2012 #7 kudos said: Habarini wana jf, jamani mie ndo nimechupa kwenye jukwaa nimependa mengi, tuelimishane tupashane habari.. naomba mnikaribishe..! Click to expand... Karibu sana JF
kudos said: Habarini wana jf, jamani mie ndo nimechupa kwenye jukwaa nimependa mengi, tuelimishane tupashane habari.. naomba mnikaribishe..! Click to expand... Karibu sana JF
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Aug 17, 2011 37,442 25,587 Jan 30, 2012 #8 ingia mpaka ndani mgen! N:B jf sio kama fc bk kunakitu kinaitwa bann. hebu pitia hizo rules eti ehh!!
ingia mpaka ndani mgen! N:B jf sio kama fc bk kunakitu kinaitwa bann. hebu pitia hizo rules eti ehh!!