memento mori
Member
- Jan 23, 2021
- 22
- 18
habari yenu ndugu zangu
WASIFU
A Man, miaka 27, im an occupational Therapist by professional pia ni mwanafunzi kwa sasa.Arsenal “the gunners fan”..ATHEIST kwa itikadi..STOIC kwa falsafa. HUMANITY kwa religion.
MUDA, si zaidi ya siku 15 tangu nijiunge JF
HAMASA: Kujifunza mambo mengi kyk nyanja mbalimbali za maisha
SABABU: sifahamu mambo mengi,na machache ninayoyafahamu bado hayanitoshelezi
MCHANGO WANGU JF;ninapenda kuwa sehemu ya mabadiliko chanya kwenye maisha ya kila mtu ambaye nature imenipa fursa ya kukutana naye..kwa msaada wa kitabibu nitafute,niko tayar kushirikiana nawe..
Ninafurahi sana kuwa mmoja wenu kwnye jukwaa kubwa la JF.
WASIFU
A Man, miaka 27, im an occupational Therapist by professional pia ni mwanafunzi kwa sasa.Arsenal “the gunners fan”..ATHEIST kwa itikadi..STOIC kwa falsafa. HUMANITY kwa religion.
MUDA, si zaidi ya siku 15 tangu nijiunge JF
HAMASA: Kujifunza mambo mengi kyk nyanja mbalimbali za maisha
SABABU: sifahamu mambo mengi,na machache ninayoyafahamu bado hayanitoshelezi
MCHANGO WANGU JF;ninapenda kuwa sehemu ya mabadiliko chanya kwenye maisha ya kila mtu ambaye nature imenipa fursa ya kukutana naye..kwa msaada wa kitabibu nitafute,niko tayar kushirikiana nawe..
Ninafurahi sana kuwa mmoja wenu kwnye jukwaa kubwa la JF.