Tutapata vidonda vya tumbo kwa ajili ya kuiwazia 'Heslb'siku zinaenda tu sijajua mwaka jana walitoa majina tarehe ngap?jaman mwenye tetesi atusaidieeee
Mwaka jana walitoa August 31
hawa jamaa kweli kwa mwaka huu wameringa vilivyo mpaka sasa kimya
TCU ndo chanzo cha yote haya na utaratibu wa computer wakati huo ujuzi wa computer wanaujua wachache wengine sisi ni mwendo wa kukosea kujaza tu
ila kuhusiana na tcu si wameishamaliza Kazi Zao !! Na kama kawaida watu wote waliochaguliwa kwa 2nd round kujiunga na vyuo vikuu ndo Hivyo tena Hawapati Mkopo !! Kwa nini wasitoe Majina Ya waliochaguliwa kupitia 1st round application..
ila kuhusiana na tcu si wameishamaliza Kazi Zao !! Na kama kawaida watu wote waliochaguliwa kwa 2nd round kujiunga na vyuo vikuu ndo Hivyo tena Hawapati Mkopo !! Kwa nini wasitoe Majina Ya waliochaguliwa kupitia 1st round application..
mkuu 2pe source kama kweli 2nd round wote hawatapata mkopo.
uliza wale wanafunzi wa mwaka jana waliopangwa vyuo kwa kupitia 2nd round applctn