Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,124
- 49,503
Kupospon
Duuuuu hapa kama sio kupospon
Duuuuu hapa kama sio kupospon
.Kama vyuo gani kaka! tujuze, ndo kusaidiana kwenyewe hukubut remember vyuo vna deadline ya kureport baada ya hapo hawatakutambua but ni kwa baadhi ya vyuo
.Kwelii jembee maana imekuwa ni kesho kesho, 2shachoka kabisaa.kama vipi waseme 2ende shamba coz msimu ushafika
.Kama vyuo gani kaka! tujuze, ndo kusaidiana kwenyewe huku
wakuu msiwe na hasira na heslb wao wanasubir kuletew majina kutoka nacte/tcu watatoa vip mkopo wakati bado wale wao taka kutransfer hawajamaliziwa process zao.yan mpk nacte/tcu wamalize mambo yao wapelek majina heslb ndo waanze kaz.
Kupospon
Kwahyo mkuu tarehe ya transfer kuwa tayari inaweza kudondokea wap? coz, 7 n mwisho kwa waafya, 10 n mwisho kwa hawa wengine, hapo mchakato c unaeza ukakamilika tarh 14
mfano st joseph, deadline ya kuregist ni tar 13
Duuuuu hapa kama sio kupospon
but remember vyuo vna deadline ya kureport baada ya hapo hawatakutambua but ni kwa baadhi ya vyuo