HESLB: Orodha ya Majina ya Waliopata Mkopo (Awamu ya Kwanza) 2016/17

Hizi serikali zetu hizi shida sana, wanasababisha watu waone kama kusoma ni adhabu flani hivi. Kama hawajakaa vizuri kuna ulazima gani kutoa majina nusunusu?

Poleni sana wadogo zangu
Daaah weee acha tu
Mabumash everywhere tz
 
daaah sasa n cc ambao tuna wazaz wote ila wakatengan n unasomeshwa n mzazi mmoja sasa apo itakuwaje n mzaz mwenyw hali n ngumu ndo kusoma tena bas au vip ? naomben mnisaidie
 
daaah sasa n cc ambao tuna wazaz wote ila wakatengan n unasomeshwa n mzazi mmoja sasa apo itakuwaje n mzaz mwenyw hali n ngumu ndo kusoma tena bas au vip ? naomben mnisaidie
We muombe mungu wako unaemuamini akiamua upate atakusaidia utaupata tu no matter what na uamini pia
 
Kama wanafunzi ni 80000 na wanatoa batch 1 wanafunzi 30000 @ batch tutegemee mabatch 27 yatatolewa kwa hiyo wanafunzi mnaotarajia kujiunga vyuo lipeni ada kama wazazi hawana uwezo uzeni nyumba maaanake haya mabatch mwezi wa 4 mwakani yataendelea kutoka. Hapa kazi tuu
 
Daaahhh inanikumbusha yale ya TUNISIA serikali haina dira watu wako kwenyematamko na maigizo. Hatuwezi kuishi kishetani kwnye nchi iliojaa asali na maziwa. Hv hawa bodi walikuwa wapi mda wote kufanya upembuzi yakinifu na kupanga kiasi cha mkopo ambacho mwanafunzi anahitaji kupata. Sasa ni bora wale waliokuwepo mara kwanza ambao tulioaminishwa wanaiba lakin wanafunzi walipewa mikopo kwa wakati. Eti wametoa majina ya udsm tuuu mbona SAUTI, MUM, MWENGE, SUA Wameshafungua? Nchi inaelekea wapi? Maigizo na Sanaa yanatufikisha wapi? Utawala huu unaweza kuingia kwenye historia ya utawala wa kihuni, kifisadi na kiupigaji kwani sasa hv ukiuliza tuu unaambiwa mchochezi.Eti bodi majina 7000 tu ndo yako tayari, hv hawa bodi wanaakili kweli? Ingekuwa China sasa hv familia zao zingekuwa kwenye mcba mzito? Bodi isilete mchezo katika maisha ya wanafunzi masikini ambao mpaka sasa hawajui hatma yao
 
Jamani msaada niangalizieni
SAIDI O.MAURID (chuo UDSM)
au MAURID SAIDI O
upload_2016-10-16_19-27-38.png
 
Pole sana mrembo, vumilia tu usije ukatiwa mimba na masharo kwa tamaa ya fedha za kugharamia chuo, almost pg zote zipo hivyo hivyo ila kunanjia nyingine ya kuingia ambayo itakwambia "u do not allocated in fist batch" so vumilia si unajua ladies pia wanapewa kipao mbele kuliko ma boys...
cyo kila anaetaka mkopo anatamaa na anataman pesa za matumiz fred.... wengne wazaz wetu hawana uwezo na tukikosa mkopo kusoma ndo akupo kaka.... kuwa mstaarabu.. kupewavmimba kumeusikaje ndugu.....
 
Mzee wa Lulembela, status yako inasomeka "...was not allocated a higher education loan for AY 2016/2017.."
 
Back
Top Bottom