Mchina Mshanga
Member
- Jan 31, 2014
- 23
- 6
Hapo ndo hata Mimi sielew labda ndo 0%Mbona hawajaonyesha kiasi pesa?
mtu akiandika neno then mbele anaongeza herufi mfano "NIFUNGUEEE" , "UPEOOOO" n.k na pia kutoa herufi kwenye maneno mfano "hapo-apo" , "wapi-api"... kwakweli kama ni mwanaume huwa ananipa mashaka sana...Heeeee ebu nifunguee upeooo apooo kjanaa unaangaliziaaa ap
Mweeeeeh
Dah nafuu hta presha imeshukahahahaaaa okee blood usiwaze lazma upatee.. no way no how....!!!!
*je kwa mtu ukisearch akakuta not allocated ** uyo ndo atafte plan B mapema au??kama ulikuwa unataka kuingia www.heslb.go.tz ingiaa soon coz iko open na ni available soon and you can check kama umepata mkopo au la kama umepata jina lako litakuja na shule yako ya olevel afu sehem za accomodation books na mengne watakuwa wamekujazia zero iyo it means umepata na wanakuwejea kiasi halisi soon but kama haujapata kwa hii awamu ya kwanza utapata tu ujumbe utakaokujulisha kwamba haujapata mkopo kwa first round....!!! ahsantenii.....
NAWASILISHA
Daaaah sasa ukifika chuoni inakueje? Daaah hawa bodi vp?Hapo ndo hata Mimi sielew labda ndo 0%
Hio Hamna kitu,,, nimeingiza namba ya MTU ambaye nilisoma nae O level na hakuendelea lkn inasema hvyo hvyo na kuaply mkopo hakuaplyKila mtu kaambiwa hvhvo hakn aliyeambiwa not secured
Pole sana mrembo, vumilia tu usije ukatiwa mimba na masharo kwa tamaa ya fedha za kugharamia chuo, almost pg zote zipo hivyo hivyo ila kunanjia nyingine ya kuingia ambayo itakwambia "u do not allocated in fist batch" so vumilia si unajua ladies pia wanapewa kipao mbele kuliko ma boys...yangu ipo ivyo ivyo kama yako
ukiwafata majibu yao n always.Nafungua profile yangu ya heslb naambiwa you did not allocated loan for this year 2016/2017.Nahisi kama nmechanganyikiwa hivi..
Furaha yangu ya kuchaguliwa chuo imetoweka sjui ata nitafanyaje yaani
Kesho jumatatu nawafuata hukohuko wakanieleze maana
Huu mchezo unahitaji hasira alafu nimeshaanza kupendaga ujinga!!!!!!!!
Sent from my TECNO F5 using JamiiForums mobile app