Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
Nilikuwepo lakini ufupi umenizidi sijaweza pata picha, nishaondoka kurudi ofisini
habari za asubuhi wadau, nimepata taarifa kwamba mwili wa aliyekuwa RPC mkoa wa Mwanza ACP Liberatus Barlow utaagwa katika viwanja vya nyamagana. mwenye taarifa kamili atujuze tafadhali!
Rest in Fire Kamanda, kumbe na nyinyi huwa mnauwa kwa risasi ,nilijua ni kina Mwangosi pekee yao
bado yule kamuhanda,tunasubiri kwa hamu kusikia amekula za shingo!
Elizabeth Dominic....why lie..av missed you a lot!!!! ata PM my dia...hoto:Nilikuwepo lakini ufupi umenizidi sijaweza pata picha, nishaondoka kurudi ofisini
Elizabeth Dominic....why lie..av missed you a lot!!!! ata PM my dia...hoto:
Mkuu upo maeneo gan hapa Nyamagana? Mimi nipo hapa TTCL nasikia kelele za nyimbo tu
nasikia padre alomzika salome mbatia alipigwa chinije ikithibitika alikuwa ametoka kuzini ni haki kwa viongozi wa dini kumzika kwa heshima zote?
mwenzangu charminglady niliposikia alikuwa na mwalimuu nikajua weweasanteni kwa taarifa. . . Facilitator na ntamaholo tupieni picha mkizipata!
wewewewewewe lazima akaagwe nyumbani kwake DARWastage of government funds! Why don't they just take his body to KIA then from there drive his body to Marangu? Why should they take him to Dar then MOSHI? What a pitty country...
nitakesha calabash nakunywa dompo!kamuhanda naye akirestishwa ataagwa kwa mtindo huu? #absurd
unafikiri wote wanaokufa na kuzikwa kwa heshima wameufia utakatifu jua maana ya katiba na sheria kama alikuwa ni muumini mzuri kanisani alifundishwa vema mafundisho matakatifu ,yeye kufia dhambi haiwahusu viongozi wa din wao mpaka wao ulishakwisha pitw kumwelekeza kutenda mema na kumtii mungu.sasa imebaki mungu amhukumu yeye pekee kwa kutokutekeleza yale aliyoelekezwa.Je ikithibitika alikuwa ametoka kuzini ni haki kwa viongozi wa dini kumzika kwa heshima zote?
utakuwa nyamagana kuanzia saa nne, misa ya kumuombea itafanyika, na baadaye salamu kutoka kwa watu mbalimbali viongozi wa dini, polis, serikali, siasa na heshima kwa wote kabla ya saa nane kupelekwa airport tayari kwa safari ya kwenda dar.
Dar mwili utapelekwa kwake upanga dsm, huko utaagwa na ndugu jamaa na marafiki na kesho unapelekwa marangu tayari kwa taratibu za mazishi
Nilikuwepo lakini ufupi umenizidi sijaweza pata picha, nishaondoka kurudi ofisini
Yaani siku hiyo nitafurahi sana...
Na wao wamesharekebisha (actually tangu juzi)..eniwei..ol for good upo Mwanza wewe!?? hows the ceremony??!
Je ikithibitika alikuwa ametoka kuzini ni haki kwa viongozi wa dini kumzika kwa heshima zote?