RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
ndugu wazalendo nimepata fund kwa ajili ya MBA uk, ila nitarudi fanya kazi tz, sasa naomba kwa wenye uelewa je nispecialize kwenye nini? marketing, finance au strategic planning au hrm? tafadhali pia sababu zake na ikiwa urahisi wa nondo etc! sina background ya business studies kabisa!