Wadau nimepata nafasi ya kusoma master's kwenye University moja hapa Tanzania. Admission letter yao inanielekeza ku-CERTIFY nakala za vyeti vyangu vyote kwenye vyuo shule nilizosoma. Je certificate ya form 6 na form 4 itanibidi kwenda baraza la mitihani au kuna mahali pengine. Nilimaliza zamani kabla mitandao ya kompyuta haijaanza kutumiwa na baraza. Help please ili niwahi registration.