Mwana wa Mungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2008
- 1,003
- 83
Jamanieee, nasema toka moyoni kabisa, sisemei kwa unafiki. kuna tatizo hapa. DADA ZANGU WAWILI wameolewa kwa waislam. wote wanaishi hapa hapa dar, na wamezaa nao watoto zaidi ya watatu kila mtu. nawapenda sana watoto wale, shemeji zangu na dada zangu tunashirikiana vizuri tu.
HIVI MAHAKAMA YA KADHI, ikiwagusa dadazangu hawa, mimi nitakuwa sijaathirika? hasa kwenye masuala ya mirathi pale watakapodhurumiwa kwa mali kugawiwa kwa watu wengine wao kupata moja ya nane tu, pale atakapokuwa kama mtumwa akijua wakati wowote anaweza kupewa talaka. wanavumilia sana, kwasababu mmoja ana wanawake anataka kuoa wengine. mwingine wamemweka kama jini, anavaa nguo nyeusi kitintedi, halafu hakika hatoki nje. muda karibia wote anakaa ndani, akikutwa nje, hadi tunaenda kusuluhisha hiyo kesi, SI WIVU HUO. akiruhusiwa kutoka nje kwenda sokoni basi anavalia tintedi. anarudi haraka na nyumba ina grill yaan inaweza hata ikiungua akaungulia humo humo. hiyo tumeikubali kwasababu ni nini yao.
tatizo ni kwamba, mambo yoote ya mahakama ya kadhi, dada zangu wakitendewa mimi sitaathirika niliye mkristo tena mlokole? najua kuna wengi ambao ndugu zao wameolewa kwa waislam hapa, sisi watz tunaoleana tu, tofauti na nchi zingine kama kenya.
naomba ushauri na uelewa. NAOMBA MTU asiseme kuwa mahakama ya kadhi itahusu mirathi na ndoa tu, maana hiyo ITAKUWA SI IBADA. itakuwaje usema mahakama ya kadhi ni ibada, halafu upunguze mambo mengine ya kwenye ibada uweke machache? yaani mnatuhakikishiaje kuwa haitakuwa kufyeka mikono au......kwa wazinzi, au kupigwa mawe hadi wafe kama SOMALIA? Je, itakuwaje ibada kwa kutoa mambo mengine na kuweka machache, si changa la macho tu hilo mnataka dada zetu waumie?
HIVI MAHAKAMA YA KADHI, ikiwagusa dadazangu hawa, mimi nitakuwa sijaathirika? hasa kwenye masuala ya mirathi pale watakapodhurumiwa kwa mali kugawiwa kwa watu wengine wao kupata moja ya nane tu, pale atakapokuwa kama mtumwa akijua wakati wowote anaweza kupewa talaka. wanavumilia sana, kwasababu mmoja ana wanawake anataka kuoa wengine. mwingine wamemweka kama jini, anavaa nguo nyeusi kitintedi, halafu hakika hatoki nje. muda karibia wote anakaa ndani, akikutwa nje, hadi tunaenda kusuluhisha hiyo kesi, SI WIVU HUO. akiruhusiwa kutoka nje kwenda sokoni basi anavalia tintedi. anarudi haraka na nyumba ina grill yaan inaweza hata ikiungua akaungulia humo humo. hiyo tumeikubali kwasababu ni nini yao.
tatizo ni kwamba, mambo yoote ya mahakama ya kadhi, dada zangu wakitendewa mimi sitaathirika niliye mkristo tena mlokole? najua kuna wengi ambao ndugu zao wameolewa kwa waislam hapa, sisi watz tunaoleana tu, tofauti na nchi zingine kama kenya.
naomba ushauri na uelewa. NAOMBA MTU asiseme kuwa mahakama ya kadhi itahusu mirathi na ndoa tu, maana hiyo ITAKUWA SI IBADA. itakuwaje usema mahakama ya kadhi ni ibada, halafu upunguze mambo mengine ya kwenye ibada uweke machache? yaani mnatuhakikishiaje kuwa haitakuwa kufyeka mikono au......kwa wazinzi, au kupigwa mawe hadi wafe kama SOMALIA? Je, itakuwaje ibada kwa kutoa mambo mengine na kuweka machache, si changa la macho tu hilo mnataka dada zetu waumie?