MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Mtoa mada... nimependa swali lako kwa sababu lina uhalisia... ni muhimu kuwa na uhakika wa madhumuni hasa ya mahakama hii. itahusika na vitu gani? Na inawaweka katika sehemu gani wale ambao si waislamu ila wameolewa na waislamu (kama dada zako). Nina maswali mawili
1. Je baada ya dada zako kuolewa, walibadili dini? yaani kuslimishwa? maana kwa jinsi ulivyosema huyo anatewekewa tinted ni kama ameslimu? hebu tufafanulie hapo vizuri.
2. Kama hawakubadilisha dini, nini makubaliano yao na waume zao?, ni kila mtu abaki na dini yake na aheshimu dini ya mwenzake au ?
Kama jibu la swali la 1 ni ndio basi hiyo haikuhusu wewe kwa kuwa dada zako ni waislamu na mambo ya mahakama ya kadhi ni yao wewe hawakuhusu.
Kama jibu la swali la pili ni kuwa walikubaliana na kuna makubaliano flani juu ya dini zao, basi ni wakati mzuri wa dada zako kuwauliza waume zao nafasi yao wao katika mahakama hii. Na ikiwezekana wakubaliane kimaandishi kuwa if anything happens then mahakama itakayomaliza matatizo yetu ni Ya Jamhuri na Muungano na si vinginevyo!! ama sivyo basi ndo uwaambie dadizo waanze kupunguza investment kwa waume na ndoa zao bali wajiwekee akiba au waivest kisiri siri just in case.........lol!!
1. Je baada ya dada zako kuolewa, walibadili dini? yaani kuslimishwa? maana kwa jinsi ulivyosema huyo anatewekewa tinted ni kama ameslimu? hebu tufafanulie hapo vizuri.
2. Kama hawakubadilisha dini, nini makubaliano yao na waume zao?, ni kila mtu abaki na dini yake na aheshimu dini ya mwenzake au ?
Kama jibu la swali la 1 ni ndio basi hiyo haikuhusu wewe kwa kuwa dada zako ni waislamu na mambo ya mahakama ya kadhi ni yao wewe hawakuhusu.
Kama jibu la swali la pili ni kuwa walikubaliana na kuna makubaliano flani juu ya dini zao, basi ni wakati mzuri wa dada zako kuwauliza waume zao nafasi yao wao katika mahakama hii. Na ikiwezekana wakubaliane kimaandishi kuwa if anything happens then mahakama itakayomaliza matatizo yetu ni Ya Jamhuri na Muungano na si vinginevyo!! ama sivyo basi ndo uwaambie dadizo waanze kupunguza investment kwa waume na ndoa zao bali wajiwekee akiba au waivest kisiri siri just in case.........lol!!