Daudi1...sawa tumemsikia husninyo
ila ishu km ya kumpigia shoe polish nayo mme anasubir had wife afanye jmn loooh...
Mloolewa ndo mambo hayo??
Aaaaah... ! Mbona umemwambia tena?! Mwache aone mziki wake. Analeta usista do kwenye ndoa? Kama mumewe anabanwa na kz, ni sahihi kufanya hayo. Ila kwa upande mwingine isiwe kila siku. Jamaa akienda kuoga si afue kufuli mwenyewe?
Mi naona boxer unaweza fua ,mengneyo ajiri house girl
ama nunua washing mashine...
Mhhh hyo ya had kumpigia polish loooooh nyie wanaume? Na sie hatuendi kazini?,nikiomba na mimi can u return the favour?muwe na huruma jmn,
ingekuwa mim haki nisingefanya..
Ndio maana hujaolewa.
heheh,kwendraaa..ntolee nuksi babu wee...KWANI NIMEKUOMBA UNIOE?? mtoa mada kaolewa au hajaolewa?
OVER EXPECTATIONS kwenye ndoa zinawamaliza...kwani mkeo punda???she is very human
Kama hiwezi kufanya issue ndogo km hizo nakwambia utabaki nung'a embe....hovyoo
wewe nawe, kuosha hiyo pichu yake tu huwezi, je kumkatikia kitandani utaweza kweli?
Wakati wakiwa
housewives???!!!! Na sasa majukumu mnatoka wote asubuhi na foleni hasa
Dar es Salaam anafika saa nne usiku basi aendelee kuwa punda wa kazi
tu???? Acheni hizo na ndoa zenu kila siku zinavunjika!!!! Dunia kwa sasa
imebadilika, mke na mume are bread earners!!! Sasa hapo kila kitu 50%
-50%??? Mbona katika mshahara wake uko mstari wa mbele kumwambia
tuchange nunu kwa nusu??? Na majukumu fanyeni nusu kwa nusu. Kama mke ni
mama wa nyumbani kuna tofauti kidogo kwa kuwa anabaki nyumbani anaweza
kujipanga na kumwandalia mume.
ni mambo ya utumwa kumfulia mtu chupi, soksi au kumbrashia viatu. akiwa anaumwa sawa!
wewe nawe, kuosha hiyo pichu yake tu huwezi, je kumkatikia kitandani utaweza kweli?
I am a newly-wed and I am already having problems with my husband, for the simple reason that I refuse to do things like washing his underwear, polishing his shoes and ironing his clothes. I believe he can do these tasks for himself since he is a grown man, but he insists that it is my duty as a wife to do them for him. He says that I am hardheaded and that I'm going against the biblical commandment ordering wives to submit to their husbands. Did I get married to become a slave? Please give me an amicable solution for this issue.
#Rachel