Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,018
- 1,505
Habari zenu wakuu? Napenda kujitambulisha kwenu kwa kuwa miongoni mwa wana Jamii forum (JF)naomba ushirikiano amani na upendo. "Pamoja daima"
sawa nitaweka,ila inaonekana wewe mwenyewe ni expect member inakuaje mkuu?Weka picha tukisajili kwenye data base ya memba wapya
Comment posts hadi zifike 250 hata sasa hivi utakuwa Expert member moja kwa mojasawa nitaweka,ila inaonekana wewe mwenyewe ni expect member inakuaje mkuu?
Mkuu we MTU wa wapi? Mbona kiswahili cha kawaida kabisa, badogo inamaanisha "bamdogo sio bwanamdogo.Bila picha bado haujawa mwana familia endelea na utoto uko uraiani kwa kujiita badogo cku ukiitwa Baba mdogo ndio uje
Asante mkuu.Comment posts hadi zifike 250 hata sasa hivi utakuwa Expert member moja kwa moja
Umepata tayariHabari zenu wakuu? Napenda kujitambulisha kwenu kwa kuwa miongoni mwa wana Jamii forum (JF)naomba ushirikiano amani na upendo. "Pamoja daima"
Jitahidi kutumia lugha ya Taifa, hiyo ya ng'ambo itakuchanganya!sawa nitaweka,ila inaonekana wewe mwenyewe ni expect member inakuaje mkuu?
Asante mkuu, pamoja daima.Umepata tayari
kama wewe mkuu!? Ila tukihofu kukosea hatutaweza kujifunza,tujaribu tu.Jitahidi kutumia lugha ya Taifa, hiyo ya ng'ambo itakuchanganya!
Asante sana mkuu.Karibu sana JF mjukuu wetu.
mdogo mdogo utaziea tu vya wakubwa.Asante sana mkuu.
NimekuhamJitahidi kutumia lugha ya Taifa, hiyo ya ng'ambo itakuchanganya!
Mimi huyu, Thad!Nimekuham
Hahaha!!Jitahidi kutumia lugha ya Taifa, hiyo ya ng'ambo itakuchanganya!