Plan Of Action
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 462
- 381
Habari wakuu, naomba kufahamu mashlahi ya wafanyakazi mbalimbali katika nafasi mbalimbali Bandarini.
No offense intended, kwa wanaofahamu tu naomba tuongezeane ufahamu..
Majuzi nimetembelea pale nimepata fununu kuna vyeti feki 500 vimeshikwa (port of dsm), kwa maana hii inaonekana pale ni hot cake. Je, malipo yao wanafaidikaje?
Marupurupu vipi?
No offense intended, kwa wanaofahamu tu naomba tuongezeane ufahamu..
Majuzi nimetembelea pale nimepata fununu kuna vyeti feki 500 vimeshikwa (port of dsm), kwa maana hii inaonekana pale ni hot cake. Je, malipo yao wanafaidikaje?
Marupurupu vipi?